Pular para o conteúdo
Publicidade

Jonas 2

6 Nilishuka hata pande za chini za milima;

Hiyo nchi ambayo mapingo yake yanafunga hata milele;

Lakini umeipandisha nafsi yangu kutoka humo shimoni,

Ee BWANA, Mungu wangu,

7 Zab 18:6;34:6;130:2;Yer 2:13Roho yangu ilipozimia ndani yangu,

Nilimkumbuka BWANA;

Maombi yangu yakakufikia,

Katika hekalu lako takatifu.

Veja também

Jonas
Ver todos os capítulos de Jonas