Wimbo wa Sifa wa Mariamu
46 1 Sam 2:1-10Mariamu akasema,
Moyo wangu wamwadhimisha Bwana,
47 Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu;
48 1 Sam 1:11;Lk 1:25;Zab 113:5,6;Lk 11:27Kwa kuwa ameutazama
Unyonge wa mjakazi wake.
Kwa maana, tazama, tokea sasa
Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
49 Zab 111:9Kwa kuwa Mwenye nguvu amenitendea makuu,
Na jina lake ni takatifu.