13 Dan 7:10Mara walikuwapo pamoja na huyo malaika, wingi wa jeshi la mbinguni, wakimsifu Mungu, na kusema,
14 Lk 19:38;Isa 57:19;Efe 2:14,17Atukuzwe Mungu juu mbinguni,
Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.
13 Dan 7:10Mara walikuwapo pamoja na huyo malaika, wingi wa jeshi la mbinguni, wakimsifu Mungu, na kusema,
14 Lk 19:38;Isa 57:19;Efe 2:14,17Atukuzwe Mungu juu mbinguni,
Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.