Sikukuu ya majuma
15 Kut 23:16;34:22;Kum 16:9-12;Law 25:8Nanyi mtajihesabia tangu siku ya pili baada ya Sabato, tangu siku hiyo mliyouleta mganda wa sadaka ya kutikiswa; zitatimia Sabato saba;
22 Law 19:9-10;Kum 24:19-22;Kut 23:11;Kum 15:1-18;Ayu 20:19;Zab 112:9;Mit 14:31;Isa 58:7,8;Yak 2:1;Rut 2:15,16Nanyi hapo mtakapovuna mavuno ya nchi yenu, usivune kabisa kabisa pembe za shamba lako, wala msiyakusanye masazo ya mavuno yako; utayaacha kwa ajili ya huyo maskini na mgeni; mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.