15 Mt 18:3Amin, nawaambieni, yeyote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa. 16 Mk 9:36Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.
15 Mt 18:3Amin, nawaambieni, yeyote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa. 16 Mk 9:36Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.