55 Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda? 56 Yn 7:15,52Na dada zake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?
55 Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda? 56 Yn 7:15,52Na dada zake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?