Pular para o conteúdo
Publicidade

Mateus 16

Yesu asema juu ya kufa na kufufuka kwake

21 Mk 8:31—9:1;Lk 9:22-27Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.Mt 12:40;Yn 2:19

Veja também