Yesu asema tena juu ya kufa na kufufuka kwake
22 Mk 9:30-32;Lk 9:43-45Nao walipokuwa wakikaa Galilaya, Yesu akawaambia, Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu, nao watamwua, na siku ya tatu atafufuka.Mt 16:21
22 Mk 9:30-32;Lk 9:43-45Nao walipokuwa wakikaa Galilaya, Yesu akawaambia, Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu, nao watamwua, na siku ya tatu atafufuka.Mt 16:21