Kuja kwa Mwana wa Adamu
29 Isa 13:10;34:4;Eze 32:7;Yoe 2:10;3:4;3:15;Ufu 6:12-13;2 Pet 3:10Lakini mara tu, baada ya dhiki ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbinguni zitatikisika;