Pular para o conteúdo
Publicidade

Números 14

33 Mdo 7:36;Zab 107:40;Kum 2:14Kisha watoto wenu watakuwa wachungaji jangwani muda wa miaka arubaini nao watauchukua mzigo wa uasherati wenu, hadi maiti zenu zitakapoangamia jangwani. 34 Hes 13:25;Zab 95:10;Eze 4:6;1 Fal 8:56;Zab 77:8;Ebr 4:1Kwa jumla ya hizo siku mlizoipeleleza ile nchi, yaani, siku arubaini kila siku kuhesabiwa mwaka, mtayachukua maovu yenu, ndiyo miaka arubaini, nanyi mtakujua kuchukizwa kwangu.

Veja também