89 Kut 31:18;33:9;34:3,9;Hes 11:17;12:8;Kut 25:22;Law 1:1;Ebr 4:16;Mwa 3:24;1 Fal 6:23;Zab 18:10;99:1;Ebr 1:14;9:5Kisha, Musa alipoingia ndani ya hema ya kukutania ili kunena na Mungu7:89 Katika Kiebrania ni kunena ‘naye’. ndipo alipoisikia Sauti ikinena naye kutoka hapo juu ya kiti cha rehema, kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, ikitoka kati ya yale makerubi7:89 Katika Kiebrania ni viumbe wawili wenye mabawa. mawili; naye akanena naye.
Publicidade