Matengenezo ya Israeli
10 Mwa 26:4;Kut 32:13;Hes 23:10;Kum 1:10;1 Fal 3:8;1 Nya 27:23;Yn 1:12;Rum 9:26Tena itakuwa ya kwamba hesabu ya wana wa Israeli itafanana na mchanga wa bahari, usioweza kupimwa wala kuhesabiwa; tena itakuwa, badala ya kuambiwa, Ninyi si watu wangu, wataambiwa, Ninyi ndio wana wa Mungu aliye hai.