Pular para o conteúdo
Publicidade

Tito 2

11 Maana neema ya Mungu iwaokoao wanadamu wote imefunuliwa; 12 Efe 1:4;1 Yoh 2:16nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa; 13 1 Kor 1:7;Rum 5:2;Flp 3:20tukilitazamia tumaini lenye baraka na kufunuliwa kwa utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; 14 Kut 19:5;Kum 4:20;7:6;14:2;Zab 130:8;1 Pet 2:9;3:13;Gal 1:4;1 Tim 2:6;Efe 2:10;Eze 37:23ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wake mwenyewe walio na bidii katika matendo mema.

Veja também

Tito
Ver todos os capítulos de Tito