Pular para o conteúdo
Publicidade

Esperança

Por Bíblia Online

A esperança cristã não é desejo vago — é certeza inabalável fundamentada nas promessas de Deus. Ela é âncora da alma, firme e segura, que penetra até o interior do véu.

Esperança viva

Bendito seja Deus que nos gerou de novo para uma esperança viva, mediante a ressurreição de Jesus Cristo.

Tumaini hai

Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa rehema zake nyingi alituzaa mara ya pili ili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka kwake Yesu Kristo katika wafu;

Tumaini hai

Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa rehema zake nyingi alituzaa mara ya pili ili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka kwake Yesu Kristo katika wafu;

Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa heshima.

Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa heshima.

Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.

Esperança que não decepciona

A esperança não decepciona, pois o amor de Deus é derramado em nossos corações pelo Espírito Santo.

na tumaini halitahayarishi; kwa maana pendo la Mungu limekwisha kumiminwa katika mioyo yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa sisi.

na tumaini halitahayarishi; kwa maana pendo la Mungu limekwisha kumiminwa katika mioyo yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa sisi.

Matokeo ya kuhesabiwa haki

Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na muwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa yeye tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo mnasimama ndani yake; na kufurahi katika tumaini la utukufu wa Mungu.

Wala si hivyo tu, ila na mfurahi katika dhiki pia; mkijua ya kuwa dhiki, kazi yake ni kuleta subira; na kazi ya subira ni uthabiti wa moyo; na kazi ya uthabiti wa moyo ni tumaini;

Kwa maana tuliokolewa kwa tumaini; lakini kitu kilichotumainiwa kikionekana, hakiwi tumaini tena. Kwa maana ni nani anayekitumainia kile akionacho? Bali tukikitumainia kitu tusichokiona, twakingojea kwa subira.

Bali tukikitumainia kitu tusichokiona, twakingojea kwa subira.

kwa tumaini, mkifurahi; katika dhiki, mkisubiri; mkidumu katika kusali;

Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.

Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.

A fé é a certeza

A fé é a certeza do que se espera. Mantenhamos firme a confissão da esperança, pois fiel é o que prometeu.

Maana ya imani

Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni kusadiki mambo yasiyoonekana.

Maana ya imani

Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni kusadiki mambo yasiyoonekana.

Na mlishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu;

Na mlishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu;

Kuna mwili mmoja, na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja la wito wenu.

macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mjue tumaini la mwito wake jinsi lilivyo; na utajiri wa utukufu wa urithi wake katika watakatifu jinsi ulivyo;

ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika Mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu

tangu tuliposikia habari za imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo mlio nao kwa watakatifu wote; kwa sababu ya tumaini mlilowekewa akiba mbinguni; ambalo habari zake mlizisikia zamani kwa neno la kweli ya Injili;

Esperança e confiança

Eu sei os planos que tenho para vocês — planos de paz e esperança. Deus é a fonte de toda esperança.

Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za baadaye.

Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za baadaye.

Iweni hodari, na mpige moyo konde,

Ninyi nyote mnaomngoja BWANA.

Iweni hodari, na mpige moyo konde,

Ninyi nyote mnaomngoja BWANA.

Nafsi yangu, kwa nini kuinama,

Na kufadhaika ndani yangu?

Umtumaini Mungu;

Kwa maana nitakuja kumsifu,

Aliye afya ya uso wangu,

Na Mungu wangu.

Nafsi yangu, kwa nini kuinama,

Na kufadhaika ndani yangu?

Umtumaini Mungu;

Kwa maana nitakuja kumsifu,

Aliye afya ya uso wangu,

Na Mungu wangu.

Ndiwe sitara yangu na ngao yangu,

Neno lako nimelingojea.

Ndiwe sitara yangu na ngao yangu,

Neno lako nimelingojea.

* * *

Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako,

Nimelitumainia neno lako.

Heri ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,

Na tumaini lake ni kwa BWANA, Mungu wake,

Ee Mungu wangu,

Nimekutumainia Wewe, nisiaibike,

Adui zangu wasifurahi kwa kunishinda.

Naam, wakungojao hawataaibika hata mmoja;

Wataaibika watendao uhaini bila sababu.

Esperança eterna

Somos salvos na esperança. Aquele que prometeu é fiel. A esperança está guardada nos céus para os que creem.

ili tukihesabiwa haki kwa neema yake, tupate kufanywa warithi wa uzima wa milele, kama lilivyo tumaini letu.

kwa maana twajitaabisha na kujitahidi kwa kusudi hili, kwa sababu tunamtumaini Mungu aliye hai, aliye Mwokozi wa watu wote, hasa wa wale waaminio.

ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyewahi kumwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.

Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.

Wala hatuachi kuikumbuka kazi yenu ya imani, na taabu yenu ya upendo, na subira yenu ya tumaini lililo katika Bwana wetu Yesu Kristo, mbele za Mungu Baba yetu.

Kuja kwa Bwana

Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. Maana, ikiwa tunaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.

Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;

Basi, sasa inadumu imani, tumaini, upendo, haya matatu; na katika hayo lililo kuu ni upendo.

Expressões de esperança

Vinde a mim todos os que estais cansados. A esperança adia a dor e floresce na presença do Senhor.

Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.

Habari njema ya ukombozi

Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu BWANA amenitia mafuta niwahubirie wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwatibu waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.

bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.

BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu,

Kwa hiyo nitamtumaini yeye.

Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.

Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua.

Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.

Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua.

Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.

Firmeza na esperança

Esperai no Senhor! O cavalo é vaidade para a segurança, mas o Senhor guarda os que nele esperam.

Ee BWANA, fadhili zako zikae nasi,

Kama tunavyo kutumainia Wewe.

Ee BWANA, fadhili zako zikae nasi,

Kama tunavyo kutumainia Wewe.

Nafsi zetu zinamngoja BWANA;

Yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu.

Farasi hafai kitu kwa wokovu,

Wala hamponyi mtu kwa wingi wa nguvu zake.

Tazama, jicho la BWANA li kwao wamchao,

Wazingojeao fadhili zake.

Ili kuwaponya nafsi zao kutoka kwa mauti,

Na kuwahuisha wakati wa njaa.

Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja,

Na neno lake nimelitumainia.

Nafsi yangu, umngoje Mungu peke yake kwa utulivu.

Maana tumaini langu hutoka kwake.

Kwa mambo ya kutisha utatujibu,

Katika haki, Ee Mungu wa wokovu wetu.

Wewe uliye tumaini la miisho yote ya dunia,

Na la bahari iliyo mbali sana,

Na sasa ninangoja nini, Ee Bwana?

Matumaini yangu ni kwako.

Uniongoze katika kweli yako,

Na kunifundisha.

Maana Wewe ndiwe Mungu wa wokovu wangu,

Nakungoja Wewe mchana kutwa.

BWANA, asubuhi utaisikia sauti yangu,

Asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia.

Kwa maana mhitaji hatasahauliwa daima;

Matumaini ya wanyonge hayatapotea milele.

BWANA atakulinda na mabaya yote,

Atakulinda nafsi yako.

BWANA atakulinda utokapo na uingiapo,

Tangu sasa na hata milele.

Nimemweka BWANA mbele yangu daima,

Kwa kuwa yuko kuliani mwangu, sitaondoshwa.

Seja o primeiro