1Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?Kwa nini unajivuna mchana kutwa,wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?
Resultados da busca por "fé"
114 resultados encontrados
- Capítulo 52
Salmos 52
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 1 de 9 - Capítulo 30
Isaías 30
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 333Lakini ulinzi wa Farao utakuwa kwa aibu yenu,kivuli cha Misri kitawaletea fedheha.
- Capítulo 61
Isaías 61
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 7 de 117Badala ya aibu yaowatu wangu watapokea sehemu maradufu,na badala ya fedhehawatafurahia katika urithi wao;hivyo watarithi sehemu maradufu katika nchi yao,nayo furaha ya milele itakuwa yao.
- Capítulo 2
Colossenses 2
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 15 de 2315Mungu akiisha kuzivua enzi na mamlaka, alizifanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuziburura kwa ujasiri, akizishinda katika msalaba wa Kristo.
- Capítulo 3
Sofonias 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 18 de 2018"Huzuni katika sikukuu zilizoamriwanitaziondoa kwenu;hizo ni mzigo na fedheha kwenu.
- Capítulo 3
Jeremias 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 25 de 2525Sisi na tulale chini katika aibu yetu,na fedheha yetu itufunike.Tumetenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wetu,sisi na mababa zetu;tangu ujana wetu hadi leohatukumtii Bwana Mungu wetu."
- Capítulo 23
Jeremias 23
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 40 de 4040Nitaleta juu yako fedheha ya kudumu: yaani aibu ya kudumu ambayo haitasahaulika."
- Capítulo 17
Juízes 17
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 2 de 132Akamwambia mama yake, "Zile shekeli 1,10017:2 Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha. za fedha zilizochukuliwa kwako, ambazo nilisikia ukizinenea maneno ya laana, hizi hapa; mimi ndiye niliyezichukua, lakini sasa ninakurudishia."Ndipo mama yake akamwambia, "Bwana na akubariki, mwanangu."
- Capítulo 1
Esdras 1
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 4 de 114Nao watu wa mahali popote wale walionusurika wanapoishi sasa, watu hao wampe fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, mbali na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’ "
- Capítulo 12
2 Reis 12
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 4 de 214Yoashi akawaambia makuhani, "Kusanyeni fedha zote ambazo zitaletwa kama sadaka takatifu kwenye Hekalu la Bwana, yaani fedha zilizokusanywa kama kodi, fedha zilizopokelewa kutokana na nadhiri za watu binafsi, na fedha zilizoletwa kwa hiari hekaluni.
- Capítulo 3
Oséias 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 2 de 52Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano3:2 Shekeli 15 za fedha ni sawa na gramu 170. za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu3:2 Homeri moja na nusu ni kama lita 330. ya shayiri.
- Capítulo 27
Jó 27
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 5 de 235Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi;hadi nife, sitakana uadilifu wangu.
- Capítulo 23
Gênesis 23
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 13 de 2013akamwambia Efroni wale watu wakiwa wanasikia, "Tafadhali nisikilize. Nitakulipa fedha za hilo shamba. Kubali kuzipokea ili niweze kumzika maiti wangu."
- Capítulo 8
Cânticos 8
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 9 de 149Kama yeye ni ukuta,tutajenga minara ya fedha juu yake.Na kama yeye ni mlango,tutamzungushia mbao za mierezi.Mpendwa
- Capítulo 3
Cânticos 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 1110Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha,kitako chake kwa dhahabu.Kiti chake kilipambwa kwa zambarau,gari lake likanakshiwa njumu kwa upendona binti za Yerusalemu.
- Capítulo 27
2 Crônicas 27
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 93Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la Bwana na kufanya kazi kubwa kwenye ukuta katika kilima cha Ofeli.
- Capítulo 28
Mateus 28
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 12 de 2012Baada ya viongozi wa makuhani kukutana na wazee na kutunga hila, waliwapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha
- Capítulo 38
Êxodo 38
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 3110pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
- Capítulo 13
Zacarias 13
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 93Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.
- Capítulo 2
João 2
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 14 de 2514Huko Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ngʼombe, kondoo na njiwa, nao wengine walikuwa wameketi mezani wakibadili fedha.