Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

128 resultados encontrados

  1. Marcos 12

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 10–30 de 44

    10Je, hamjasoma Andiko hili:" ‘Jiwe walilolikataa waashilimekuwa jiwe kuu la pembeni;

    27Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea kabisa."

    30Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.’

  2. Êxodo 20

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 20
    Mostrando versículos 13–15 de 26

    13Usiue.

    14Usizini.

    15Usiibe.

  3. Levítico 19

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 11–36 de 37

    11" ‘Usiibe." ‘Usiseme uongo." ‘Msidanganyane.

    28" ‘Msichanje chale miili yenu kwa ajili ya mfu, wala msijichore alama juu ya miili yenu. Mimi ndimi Bwana.

    36Tumia mizani halali, mawe ya kupimia uzito halali, efa19:36 Efa kilikuwa kipimo cha vitu vikavu. halali, na hini19:36 Hini kilikuwa kipimo cha vitu vimiminika. halali. Mimi ndimi Bwana Mungu wako, ambaye alikutoa katika nchi ya Misri.

  4. Tito 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 5–15 de 15

    5alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,

    8Hili ni neno la kuaminiwa. Nami nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote. Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa kila mtu.

    15Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale wanaotupenda katika imani.Neema iwe nanyi nyote. Amen.

  5. Provérbios 24

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 24
    Mostrando versículos 4–26 de 34

    4kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwavitu vya thamani na vya kupendeza.

    8Yeye apangaye mabayaatajulikana kama mtu wa hila.

    26Jawabu la uaminifuni kama busu la midomoni.

  6. Romanos 15

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 10–33 de 33

    10Tena yasema,"Enyi watu wa Mataifa, furahinipamoja na watu wa Mungu."

    13Mungu wa tumaini awajaze ninyi furaha yote na amani katika kumwamini, ili mpate kujawa na tumaini tele kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.

    33Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amen.

  7. Salmos 23

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 1–5 de 6

    1Bwana ndiye mchungaji wangu,sitapungukiwa na kitu.

    3hunihuisha nafsi yangu.Huniongoza katika njia za hakikwa ajili ya jina lake.

    5Waandaa meza mbele yangumachoni pa adui zangu.Umenipaka mafuta kichwani pangu,kikombe changu kinafurika.

  8. 2 Coríntios 10

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 7–16 de 18

    7Angalieni yale yaliyo machoni penu. Kama mtu yeyote anaamini kuwa yeye ni mali ya Kristo, basi kumbuka kuwa kama ulivyo wa Kristo, vivyo hivyo na sisi ndivyo tulivyo.

    15Wala hatuvuki mipaka kwa kujisifu kwetu kwa ajili ya kazi iliyofanywa na watu wengine. Tumaini letu ni kwamba imani yenu inavyozidi kukua, eneo letu la utendaji miongoni mwenu litapanuka zaidi,

    16ili tuweze kuhubiri Injili sehemu zilizo mbali na maeneo yenu. Kwa maana hatutaki kujisifu kwa ajili ya kazi ambayo imekwisha kufanyika tayari katika eneo la mtu mwingine.

  9. Oséias 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 5–17 de 19

    5Unajikwaa usiku na mchana,nao manabii hujikwaa pamoja nawe.Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:

    12wa watu wangu.Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mtinao hujibiwa na fimbo ya mti.Roho ya ukahaba imewapotosha,hawana uaminifu kwa Mungu wao.

    17Efraimu amejiunga na sanamu,ondokana naye!

  10. Atos 24

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 24
    Mostrando versículos 14–16 de 27

    14Lakini, ninakubali kwamba mimi namwabudu Mungu wa baba zetu, mfuasi wa Njia, ile ambayo wao wanaiita dhehebu. Ninaamini kila kitu kinachokubaliana na Sheria na kile kilichoandikwa katika Manabii,

    15nami ninalo tumaini kwa Mungu, ambalo hata wao wenyewe wanalikubali kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, kwa wenye haki na wasio na haki.

    16Kwa hiyo ninajitahidi siku zote kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu.

  11. Provérbios 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 2–17 de 25

    2Kutoka tunda la midomo yake mtu hufurahia mambo mema,bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.

    14Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima,ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

    17Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu,bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.

  12. Atos 25

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 25
    Mostrando versículos 13–22 de 27

    13Baada ya siku kadhaa Mfalme Agripa na Bernike wakapanda kuja Kaisaria kumsalimu Festo.

    22Ndipo Agripa akamwambia Festo, "Ningependa kumsikiliza mtu huyo mimi mwenyewe."Yeye akajibu, "Kesho utamsikia."

  13. Isaías 30

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 30
    Mostrando versículos 3–18 de 33

    3Lakini ulinzi wa Farao utakuwa kwa aibu yenu,kivuli cha Misri kitawaletea fedheha.

    16Mlisema, ‘Hapana, tutakimbia kwa farasi.’Kwa hiyo mtakimbia!Mlisema, ‘Tutakimbia kwa farasi waendao kasi.’Kwa hiyo wanaowafukuza watakwenda kasi!

    18Hata hivyo Bwana anatamani kutupatia neema,anainuka ili kuwaonyesha huruma.Kwa kuwa Bwana ni Mungu wa haki.Wamebarikiwa wote wanaomngojea yeye!

  14. Isaías 61

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 61
    Mostrando versículos 1–10 de 11

    1Roho wa Bwana Mwenyezi yu juu yangu,kwa sababu Bwana amenitia mafutakuwahubiria maskini habari njema.Amenituma kuwaganga waliovunjika moyo,kuwatangazia mateka uhuru wao,na hao waliofungwahabari za kufunguliwa kwao;

    6Nanyi mtaitwa makuhani wa Bwana,mtaitwa watumishi wa Mungu wetu.Mtakula utajiri wa mataifa,nanyi katika utajiri wao mtajisifu.

    10Ninafurahia sana katika Bwana,nafsi yangu inashangilia katika Mungu wangu.Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu,na kunipamba kwa joho la haki,kama vile bwana arusi apambavyokichwa chake kama kuhani,na kama bibi arusi ajipambavyokwa vito vyake vya thamani.

  15. Colossenses 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 9–13 de 23

    9Maana ukamilifu wote wa Uungu umo ndani ya Kristo katika umbile la mwili wa kibinadamu,

    12mkiwa mmezikwa pamoja naye katika ubatizo, na kufufuliwa pamoja naye kwa njia ya imani yenu katika uweza wa Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu.

    13Mlipokuwa wafu katika dhambi zenu na kutokutahiriwa katika asili yenu ya dhambi, Mungu aliwafanya mwe hai pamoja na Kristo. Alitusamehe dhambi zetu zote,

  16. Sofonias 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–17 de 20

    1Ole mji wa wadhalimu,waasi na waliotiwa unajisi!

    2Hautii mtu yeyote,haukubali maonyo.Haumtumaini Bwana,haukaribii karibu na Mungu wake.

    17Bwana Mungu wako yu pamoja nawe,yeye ni mwenye nguvu kuokoa.Atakufurahia kwa furaha kubwa,atakutuliza kwa pendo lake,atakufurahia kwa kuimba."

  17. Jeremias 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 4–25 de 25

    4Je, wewe hujaniita hivi punde tu:‘Baba yangu, rafiki yangu tangu ujana wangu,

    13Ungama dhambi zako tu:kwamba umemwasi Bwana Mungu wako,umetapanya wema wako kwa miungu ya kigenichini ya kila mti unaotanda,nawe hukunitii mimi,’ "asema Bwana.

    25Sisi na tulale chini katika aibu yetu,na fedheha yetu itufunike.Tumetenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wetu,sisi na mababa zetu;tangu ujana wetu hadi leohatukumtii Bwana Mungu wetu."

  18. Jeremias 23

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 9–26 de 40

    9Kuhusu manabii:Moyo wangu umevunjika ndani yangu;mifupa yangu yote inatetemeka.Nimekuwa kama mtu aliyelewa,kama mtu aliyelemewa na divai,kwa sababu ya Bwanana maneno yake matakatifu.

    25"Nimesikia wanayoyasema manabii, hao wanaotabiri uongo kwa jina langu. Wanasema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’

    26Mambo haya yataendelea mpaka lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe?

  19. Juízes 17

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 1–8 de 13

    1Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye aliishi katika vilima vya Efraimu.

    4Hivyo akamrudishia mama yake ile fedha, naye mama yake akachukua shekeli mia mbili17:4 Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3 za fedha. za hiyo fedha na kumpa mfua fedha, ambaye aliifanyiza kinyago na sanamu. Navyo vikawekwa ndani ya nyumba ya Mika.

    8Huyu kijana akatoka katika mji huo wa Bethlehemu ya Yuda na kutafuta mahali pengine ambapo angeweza kuishi. Alipokuwa akisafiri, akafika nyumbani kwa Mika katika vilima vya Efraimu.

  20. Esdras 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículo 2 de 11

    2"Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi:" ‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo