Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

126 resultados encontrados

  1. Oséias 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 2 de 5

    2Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano3:2 Shekeli 15 za fedha ni sawa na gramu 170. za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu3:2 Homeri moja na nusu ni kama lita 330. ya shayiri.

  2. Jó 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículo 5 de 23

    5Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi;hadi nife, sitakana uadilifu wangu.

  3. Gênesis 23

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículo 13 de 20

    13akamwambia Efroni wale watu wakiwa wanasikia, "Tafadhali nisikilize. Nitakulipa fedha za hilo shamba. Kubali kuzipokea ili niweze kumzika maiti wangu."

  4. Cânticos 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículo 9 de 14

    9Kama yeye ni ukuta,tutajenga minara ya fedha juu yake.Na kama yeye ni mlango,tutamzungushia mbao za mierezi.Mpendwa

  5. Cânticos 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 10 de 11

    10Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha,kitako chake kwa dhahabu.Kiti chake kilipambwa kwa zambarau,gari lake likanakshiwa njumu kwa upendona binti za Yerusalemu.

  6. 2 Crônicas 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículo 3 de 9

    3Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la Bwana na kufanya kazi kubwa kwenye ukuta katika kilima cha Ofeli.

  7. Deuteronômio 12

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 22–27 de 32

    22Mle kama vile mngekula paa na kulungu. Wote walio najisi kiibada na walio safi mwaweza kula.

    24Hamruhusiwi kamwe kunywa damu; imwageni juu ya ardhi kama maji.

    27Leteni sadaka zenu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wenu, vyote nyama na damu. Damu ya dhabihu zenu lazima imiminwe kando ya madhabahu ya Bwana Mungu wenu, lakini nyama mnaweza kula.

  8. Mateus 28

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 28
    Mostrando versículo 12 de 20

    12Baada ya viongozi wa makuhani kukutana na wazee na kutunga hila, waliwapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha

  9. Êxodo 38

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 38
    Mostrando versículo 10 de 31

    10pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

  10. Zacarias 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículo 3 de 9

    3Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.

  11. João 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículo 14 de 25

    14Huko Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ngʼombe, kondoo na njiwa, nao wengine walikuwa wameketi mezani wakibadili fedha.

  12. Zacarias 6

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículo 10 de 15

    10"Chukua fedha na dhahabu kutoka kwa watu waliohamishwa, yaani Heldai, Tobia na Yedaya ambao wamefika kutoka Babeli. Siku iyo hiyo nenda nyumbani kwa Yosia mwana wa Sefania.

  13. Amós 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículo 6 de 16

    6Hili ndilo asemalo Bwana:"Kwa dhambi tatu za Israeli,hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.Wanawauza wenye haki kwa fedha,na maskini kwa jozi ya viatu.

  14. Malaquias 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 2 de 18

    2Lakini ni nani atakayeweza kustahimili hiyo siku ya kuja kwake? Ni nani awezaye kusimama atakapotokea? Kwa kuwa atakuwa kama moto wa mfua fedha au kama sabuni ya afuaye nguo.

  15. Gênesis 17

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 17
    Mostrando versículo 12 de 27

    12Kwa vizazi vijavyo, kila mwanaume miongoni mwenu mwenye siku nane ni lazima atahiriwe, pamoja na watakaozaliwa nyumbani mwako au walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, wale ambao sio watoto wako.

  16. Oséias 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículo 4 de 14

    4Wanaweka wafalme bila idhini yangu,wamechagua wakuu bila kibali changu.Kwa fedha zao na dhahabuwamejitengenezea sanamu kwa ajiliya maangamizi yao wenyewe.

  17. 1 Crônicas 28

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 28
    Mostrando versículo 14 de 21

    14Akamwagizia uzito wa dhahabu kwa ajili ya vitu vyote vya dhahabu vya kutumika katika huduma mbalimbali, uzito wa fedha kwa ajili ya vitu vyote vya fedha vya kutumika katika huduma mbalimbali.

  18. Salmos 52

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 52
    Mostrando versículo 1 de 9

    1Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?Kwa nini unajivuna mchana kutwa,wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?

  19. Miquéias 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 7 de 12

    7Waonaji wataaibikana waaguzi watafedheheka.Wote watafunika nyuso zaokwa sababu hakuna jibu litokalo kwa Mungu."

  20. Atos 26

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 26
    Mostrando versículo 24 de 32

    24Paulo alipokuwa akifanya utetezi huu, Festo akasema kwa sauti kubwa, "Paulo, wewe umerukwa na akili! Kusoma kwingi kunakufanya uwe kichaa!"

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo