2Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano3:2 Shekeli 15 za fedha ni sawa na gramu 170. za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu3:2 Homeri moja na nusu ni kama lita 330. ya shayiri.
Resultados da busca por "fé"
126 resultados encontrados
- Capítulo 3
Oséias 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 2 de 5 - Capítulo 27
Jó 27
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 5 de 235Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi;hadi nife, sitakana uadilifu wangu.
- Capítulo 23
Gênesis 23
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 13 de 2013akamwambia Efroni wale watu wakiwa wanasikia, "Tafadhali nisikilize. Nitakulipa fedha za hilo shamba. Kubali kuzipokea ili niweze kumzika maiti wangu."
- Capítulo 8
Cânticos 8
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 9 de 149Kama yeye ni ukuta,tutajenga minara ya fedha juu yake.Na kama yeye ni mlango,tutamzungushia mbao za mierezi.Mpendwa
- Capítulo 3
Cânticos 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 1110Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha,kitako chake kwa dhahabu.Kiti chake kilipambwa kwa zambarau,gari lake likanakshiwa njumu kwa upendona binti za Yerusalemu.
- Capítulo 27
2 Crônicas 27
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 93Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la Bwana na kufanya kazi kubwa kwenye ukuta katika kilima cha Ofeli.
- Capítulo 12
Deuteronômio 12
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 22–27 de 3222Mle kama vile mngekula paa na kulungu. Wote walio najisi kiibada na walio safi mwaweza kula.
24Hamruhusiwi kamwe kunywa damu; imwageni juu ya ardhi kama maji.
27Leteni sadaka zenu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wenu, vyote nyama na damu. Damu ya dhabihu zenu lazima imiminwe kando ya madhabahu ya Bwana Mungu wenu, lakini nyama mnaweza kula.
- Capítulo 28
Mateus 28
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 12 de 2012Baada ya viongozi wa makuhani kukutana na wazee na kutunga hila, waliwapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha
- Capítulo 38
Êxodo 38
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 3110pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
- Capítulo 13
Zacarias 13
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 93Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.
- Capítulo 2
João 2
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 14 de 2514Huko Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ngʼombe, kondoo na njiwa, nao wengine walikuwa wameketi mezani wakibadili fedha.
- Capítulo 6
Zacarias 6
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 1510"Chukua fedha na dhahabu kutoka kwa watu waliohamishwa, yaani Heldai, Tobia na Yedaya ambao wamefika kutoka Babeli. Siku iyo hiyo nenda nyumbani kwa Yosia mwana wa Sefania.
- Capítulo 2
Amós 2
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 6 de 166Hili ndilo asemalo Bwana:"Kwa dhambi tatu za Israeli,hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.Wanawauza wenye haki kwa fedha,na maskini kwa jozi ya viatu.
- Capítulo 3
Malaquias 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 2 de 182Lakini ni nani atakayeweza kustahimili hiyo siku ya kuja kwake? Ni nani awezaye kusimama atakapotokea? Kwa kuwa atakuwa kama moto wa mfua fedha au kama sabuni ya afuaye nguo.
- Capítulo 17
Gênesis 17
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 12 de 2712Kwa vizazi vijavyo, kila mwanaume miongoni mwenu mwenye siku nane ni lazima atahiriwe, pamoja na watakaozaliwa nyumbani mwako au walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, wale ambao sio watoto wako.
- Capítulo 8
Oséias 8
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 4 de 144Wanaweka wafalme bila idhini yangu,wamechagua wakuu bila kibali changu.Kwa fedha zao na dhahabuwamejitengenezea sanamu kwa ajiliya maangamizi yao wenyewe.
- Capítulo 28
1 Crônicas 28
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 14 de 2114Akamwagizia uzito wa dhahabu kwa ajili ya vitu vyote vya dhahabu vya kutumika katika huduma mbalimbali, uzito wa fedha kwa ajili ya vitu vyote vya fedha vya kutumika katika huduma mbalimbali.
- Capítulo 52
Salmos 52
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 1 de 91Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?Kwa nini unajivuna mchana kutwa,wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?
- Capítulo 3
Miquéias 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 7 de 127Waonaji wataaibikana waaguzi watafedheheka.Wote watafunika nyuso zaokwa sababu hakuna jibu litokalo kwa Mungu."
- Capítulo 26
Atos 26
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 24 de 3224Paulo alipokuwa akifanya utetezi huu, Festo akasema kwa sauti kubwa, "Paulo, wewe umerukwa na akili! Kusoma kwingi kunakufanya uwe kichaa!"