Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

128 resultados encontrados

  1. 2 Reis 12

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 11–14 de 21

    11Wakiisha kuthibitisha kiasi cha hizo fedha, waliwapa watu walioteuliwa kusimamia kazi katika Hekalu. Kwa fedha hizo, wakawalipa wale watu waliofanya kazi katika Hekalu la Bwana: yaani, maseremala na wajenzi,

    12waashi na wakata mawe. Walinunua mbao na mawe ya kuchongwa kwa ajili ya ukarabati wa Hekalu la Bwana, na kulipia gharama nyingine zote za kulitengeneza.

    14zililipwa kwa wafanyakazi, ambao walizitumia kwa kukarabati Hekalu.

  2. Oséias 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–5 de 5

    1Bwana akaniambia, "Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama Bwana apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu."

    2Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano3:2 Shekeli 15 za fedha ni sawa na gramu 170. za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu3:2 Homeri moja na nusu ni kama lita 330. ya shayiri.

    5Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa Bwana na kwa baraka zake katika siku za mwisho.

  3. Gênesis 23

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 5–14 de 20

    5Wahiti wakamjibu Abrahamu,

    11"La hasha, bwana wangu, nisikilize, nakupa shamba, pia nakupa pango lililomo ndani yake. Nakupa mbele ya watu wangu. Uzike maiti wako."

    14Efroni akamjibu Abrahamu,

  4. Jó 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 9–23 de 23

    9Je, Mungu husikiliza kilio chake,shida zimjiapo?

    10Je, anaweza kumfurahia Mwenyezi?Je, atamwita Mungu nyakati zote?

    23Upepo humpigia makofi kwa dharau,na kumfukuza atoke mahali pake.

  5. Cânticos 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 6–13 de 14

    6Nitie kama muhuri moyoni mwako,kama muhuri kwenye mkono wako;kwa maana upendo una nguvu kama mauti,wivu wake ni mkatili kama kuzimu.Unachoma kama mwali wa moto,kama mwali mkubwa wa moto wa Bwana hasa.

    9Kama yeye ni ukuta,tutajenga minara ya fedha juu yake.Na kama yeye ni mlango,tutamzungushia mbao za mierezi.Mpendwa

    13Wewe ukaaye bustaninipamoja na marafiki mliohudhuria,hebu nisikie sauti yako!Mpendwa

  6. Efésios 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–13 de 23

    1Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu:Kwa watakatifu walioko Efeso, walio waaminifu katika Kristo Yesu:

    4Kwa maana alituchagua katika yeye kabla ya kuumbwa ulimwengu ili tuwe watakatifu na bila lawama mbele zake. Kwa upendo

    13Ninyi pia mliingia ndani ya Kristo mliposikia Neno la kweli, Injili ya wokovu wenu. Mkiisha kuamini, ndani yake mlitiwa muhuri, yaani, Roho Mtakatifu mliyeahidiwa,

  7. 2 Crônicas 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículo 3 de 9

    3Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la Bwana na kufanya kazi kubwa kwenye ukuta katika kilima cha Ofeli.

  8. Cânticos 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 4–6 de 11

    4Kitambo kidogo tu baada ya kuwapitanilimpata yule moyo wangu umpendaye.Nilimshika na sikumwachia aendempaka nilipomleta katika nyumba ya mama yangu,katika chumba cha yule aliyenichukua mimba.

    5Binti za Yerusalemu, ninawaagizakwa paa na kwa ayala wa shambani:Msichochee wala kuamsha mapenzihata yatakapotaka yenyewe.Mpenzi

    6Ni nani huyu anayekuja kutoka jangwanikama nguzo ya moshi,anayenukia manemane na uvumbailiyotengenezwa kwa vikolezo vyotevya mfanyabiashara?

  9. Mateus 28

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 3–20 de 20

    3Sura ya huyo malaika ilikuwa kama umeme, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

    4Wale walinzi wa kaburi walimwogopa sana, wakatetemeka hata wakawa kama wafu.

    20nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika mimi niko pamoja nanyi siku zote, hadi mwisho wa nyakati."

  10. Zacarias 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 3–6 de 9

    3Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Bwana.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.

    4"Katika siku hiyo, kila nabii ataaibika kwa maono ya unabii wake. Hatavaa vazi la kinabii la nywele ili apate kudanganya watu.

    6Ikiwa mtu atamuuliza, ‘Majeraha haya yaliyo mwilini mwako ni ya nini?’ Atajibu, ‘Ni majeraha niliyoyapata katika nyumba ya rafiki zangu.’

  11. Zacarias 6

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 2–14 de 15

    2Gari la kwanza lilivutwa na farasi wekundu, la pili lilivutwa na farasi weusi,

    9Neno la Bwana likanijia kusema:

    14Taji itatolewa kwa Heldai, Tobia, Yedaya na Heni mwana wa Sefania kama kumbukumbu ndani ya Hekalu la Bwana.

  12. João 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 4–22 de 25

    4Yesu akamwambia, "Mwanamke, nina nini nawe? Saa yangu haijawadia."

    21Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.

    22Baada ya kufufuliwa kutoka kwa wafu, wanafunzi wake wakakumbuka yale aliyokuwa amesema. Ndipo wakayaamini Maandiko na yale maneno Yesu aliyokuwa amesema.

  13. Amós 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 1–12 de 16

    1Hili ndilo asemalo Bwana:"Kwa dhambi tatu za Moabu,hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu,ikawa kama chokaa.

    8Watu hulala kando ya kila madhabahujuu ya nguo zilizowekwa rehani.Katika nyumba ya mungu wao hunywa mvinyoulionunuliwa kwa fedha walizotozwa watu.

    12"Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyona kuwaamuru manabii wasitoe unabii.

  14. Malaquias 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 8–14 de 18

    8"Je, mwanadamu atamwibia Mungu? Hata hivyo mnaniibia mimi."Lakini mnauliza, ‘Tunakuibia kwa namna gani?’"Mnaniibia zaka na dhabihu.

    10Leteni zaka kamili ghalani, ili kuwe na chakula katika nyumba yangu. Nijaribuni katika hili," asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, "nanyi mwone kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutosha.

    14"Mmesema, ‘Ni bure kumtumikia Mungu. Tumepata faida gani kwa kushika maagizo yake na kwenda kama waombolezaji mbele za Bwana Mwenye Nguvu Zote?

  15. Gênesis 17

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 3–24 de 27

    3Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akamwambia,

    13Awe amezaliwa nyumbani mwako au amenunuliwa kwa fedha yako, ni lazima watahiriwe. Agano langu katika mwili wako litakuwa ni Agano la milele.

    24Abrahamu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa,

  16. Jó 28

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 5–25 de 28

    5Ardhi, ambako chakula hutoka,chini hugeuzwa kwa moto;

    11Hutafuta vyanzo vya mitona kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru.

    25Alipofanyiza nguvu za upepona kuyapima maji,

  17. 1 Crônicas 28

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 3–16 de 21

    3Lakini Mungu akaniambia, ‘Wewe hutajenga nyumba kwa Jina langu, kwa sababu wewe umepigana vita na umemwaga damu.’

    9"Nawe Solomoni mwanangu, mjue Mungu wa baba yako, ukamtumikie kwa kujitoa kwa moyo wote na kwa nia ya kumkubali, kwa maana Bwana huuchunguza kila moyo na kujua kila kusudi la kila fikira. Ukimtafuta, ataonekana kwako; bali kama ukimwacha, yeye atakukataa milele.

    16uzito wa dhahabu kwa ajili ya meza ya mikate iliyowekwa wakfu, uzito wa fedha kwa ajili ya meza ya fedha;

  18. Salmos 44

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículos 8–26 de 26

    8Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa,nasi tutalisifu jina lako milele.

    23Amka, Ee Bwana! Kwa nini unalala?Zinduka! Usitukatae milele.

    26Inuka na utusaidie,utukomboe kwa sababu ya upendo wako usio na mwisho.

  19. Atos 26

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 26
    Mostrando versículos 16–22 de 32

    16Sasa inuka usimame kwa miguu yako. Nimekutokea ili nikuteue uwe mtumishi na shahidi wa mambo ambayo umeyaona, na yale nitakayokuonyesha.

    18uyafumbue macho yao ili wageuke kutoka gizani waingie nuruni, na kutoka kwenye nguvu za Shetani wamgeukie Mungu, ili wapate msamaha wa dhambi na sehemu miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini mimi.’

    22Hadi leo nimepata msaada kutoka kwa Mungu, na hivyo nasimama hapa nikishuhudia kwa wakubwa na wadogo. Sisemi chochote zaidi ya yale ambayo manabii na Mose walisema yatatukia:

  20. Miquéias 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 6–11 de 12

    6Kwa hiyo usiku utawajieni, msiweze kuwa na maono,na giza, msiweze kubashiri.Jua litawachwea manabii hao,nao mchana utakuwa giza kwao.

    7Waonaji wataaibikana waaguzi watafedheheka.Wote watafunika nyuso zaokwa sababu hakuna jibu litokalo kwa Mungu."

    11Viongozi wake wanahukumu kwa rushwa,na makuhani wake wanafundisha kwa malipo,nao manabii wake wanatabiri kwa fedha.Hata hivyo wanamwegemea Bwana na kusema,"Je, Bwana si yumo miongoni mwetu?Hakuna maafa yatakayotupata."

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo