Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "salvação"

64 resultados encontrados

  1. Salmos 20

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 20
    Mostrando versículos 2–9 de 9

    2Na akutumie msaada kutoka patakatifuna akupatie msaada kutoka Sayuni.

    5Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu.Bwana na akupe haja zako zote.

    9Ee Bwana, mwokoe mfalme!Tujibu tunapokuita!

  2. Salmos 80

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 80
    Mostrando versículos 2–14 de 19

    2mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.Uamshe nguvu zako,uje utuokoe.

    3Ee Mungu, uturejeshe,utuangazie uso wako,ili tuweze kuokolewa.

    14Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote!Tazama chini kutoka mbinguni na uone!Linda mzabibu huu,

  3. Salmos 33

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 33
    Mostrando versículos 17–21 de 22

    17Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.

    19ili awaokoe na mauti,na kuwahifadhi wakati wa njaa.

    21Mioyo yetu humshangilia,kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.

  4. Salmos 42

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 42
    Mostrando versículos 2–11 de 11

    2Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?

    5Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?Weka tumaini lako kwa Mungu,kwa sababu bado nitamsifu,Mwokozi wangu na

    11Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?Weka tumaini lako kwa Mungu,kwa sababu bado nitamsifu,Mwokozi wangu na Mungu wangu.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo