Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

128 resultados encontrados

  1. Ester 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 11 de 15

    11Mfalme akamwambia Hamani, "Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo."

  2. Êxodo 38

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 38
    Mostrando versículos 2–19 de 31

    2Akatengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu zikawa zimeungana, akafunika madhabahu kwa shaba.

    6Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.

    19likiwa na nguzo nne na vitako vinne vya shaba. Kulabu zake na tepe zake zilikuwa za fedha, na ncha zake zilikuwa zimefunikwa kwa fedha.

  3. Josué 7

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 4–14 de 26

    4Basi wakapanda kama watu elfu tatu tu, lakini wakashambuliwa na watu wa Ai,

    10Bwana akamwambia Yoshua, "Simama! Unafanya nini hapo chini kifudifudi?

    14" ‘Asubuhi, mjihudhurishe kabila kwa kabila. Itakuwa kabila lile atakalolitwaa Bwana litakuja mbele ukoo kwa ukoo, ukoo ule atakaoutwaa Bwana utakuja mbele jamaa kwa jamaa, nayo jamaa ile atakayoitwaa Bwana itakuja mbele mtu kwa mtu.

  4. Zacarias 11

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 11
    Mostrando versículos 1–17 de 17

    1Fungua milango yako, ee Lebanoni,ili moto uteketeze mierezi yako!

    7Kwa hiyo nikalilisha kundi lililotiwa alama kwa kuchinjwa, hasa kundi lililoonewa sana. Kisha nikachukua fimbo mbili, moja nikaiita Fadhili na nyingine Umoja, nami nikalilisha kundi.

    17"Ole wa mchungaji asiyefaa,anayeliacha kundi!Upanga na uupige mkono wake na jicho lake la kuume!Mkono wake na unyauke kabisa,jicho lake la kuume lipofuke kabisa!"

  5. Oséias 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 2–6 de 14

    2Israeli ananililia,‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’

    5Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama!Hasira yangu inawaka dhidi yao.Watakuwa najisi mpaka lini?

    6Zimetoka katika Israeli!Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu.Atavunjwa vipande vipande,yule ndama wa Samaria.

  6. Gênesis 43

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 43
    Mostrando versículos 13–34 de 34

    13Mchukueni ndugu yenu pia mrudi kwa huyo mtu mara moja.

    14Naye Mungu Mwenyezi43:14 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). awajalieni rehema mbele ya huyo mtu ili apate kumwachia yule ndugu yenu na Benyamini mweze kurudi pamoja. Kwangu mimi kama nikufiwa nimefiwa."

    34Wakati walipelekewa sehemu ya chakula kutoka mezani mwa Yosefu, sehemu ya Benyamini ilikuwa mara tano zaidi ya sehemu ya wale wengine. Kwa hiyo wakanywa na kufurahi pamoja naye.

  7. Salmos 52

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 52
    Mostrando versículos 1–9 de 9

    1Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?Kwa nini unajivuna mchana kutwa,wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?

    3Unapenda mabaya kuliko mema,uongo kuliko kusema kweli.

    9Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda,nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema.Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.

  8. Atos 23

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 13–26 de 35

    13Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi ya watu arobaini.

    25Kisha akaandika barua kwa Feliksi kama ifuatavyo:

    26Klaudio Lisia,Kwa Mtawala, Mtukufu Feliksi:Salamu.

  9. Isaías 44

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículos 15–27 de 28

    15Ni kuni ya binadamu:yeye huchukua baadhi yake na kuota moto,huwasha moto na kuoka mkate.Lakini pia huutumia kumtengeneza mungu na akamwabudu,huitengeneza sanamu na kuisujudia.

    17Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake;yeye huisujudia na kuiabudu.Huiomba na kusema,"Niokoe; wewe ni mungu wangu."

    27niambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka,nami nitakausha vijito vyako,’

  10. 2 Reis 7

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 3–16 de 20

    3Basi kulikuwepo na watu wanne wenye ukoma katika ingilio la lango la mji. Wakaambiana, "Kwa nini tukae hapa mpaka tufe?

    4Kama tukisema, ‘Tutaingia mjini,’ mjini kuna njaa, nasi tutakufa humo. Kama tukikaa hapa, tutakufa. Kwa hiyo twende kwenye kambi ya Waaramu na tujisalimishe. Kama wakituacha hai, tutaishi; kama wakituua, basi na tufe."

    16Kisha watu wakatoka na kuteka nyara kambi ya Waaramu. Kwa hiyo kipimo cha unga mzuri kikauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kama vile Bwana alivyokuwa amesema.

  11. Cânticos 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–13 de 17

    1Wimbo ulio bora wa Solomoni.Mpendwa

    9Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jikealiyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.

    13Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemanekati ya matiti yangu.

  12. Eclesiastes 10

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 5–13 de 20

    5Kuna ubaya niliouona chini ya jua,aina ya kosa litokalo kwa mtawala:

    9Yeyote apasuaye maweinawezekana yakamuumiza,yeyote apasuaye magogoinawezekana yakamuumiza.

    13Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,mwishoni ni wazimu mbaya,

  13. 2 Crônicas 9

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 9
    Mostrando versículos 7–28 de 31

    7Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako!

    8Ahimidiwe Bwana Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe, na akakuweka juu ya kiti chake cha ufalme utawale kwa niaba ya Bwana Mungu wako. Kwa sababu ya upendo wa Mungu wako kwa Israeli na shauku yake ya kuwadhibitisha milele, amekufanya wewe mfalme juu yao, ili kudumisha haki na uadilifu."

    28Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.

  14. Esdras 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 6–17 de 36

    6wa wazao wa Adini, alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume 50 pamoja naye;

    10wa wazao wa Bani, alikuwa Shelomithi mwana wa Yosifia na wanaume 160 pamoja naye;

    17nikawatuma kwa Ido kiongozi huko Kasifia. Niliwaambia watakayomwambia Ido na ndugu zake, watumishi wa Hekalu8:17 Yaani Wanethini (pia 8:20). huko Kasifia, ili waweze kutuletea wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.

  15. 1 Crônicas 29

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 29
    Mostrando versículos 13–17 de 30

    13Sasa, Mungu wetu, tunakushukuruna kulisifu Jina lako tukufu.

    15Sisi ni wageni na wapitaji machoni pako, kama walivyokuwa baba zetu wote. Siku zetu duniani ni kama kivuli, bila tumaini.

    17Ninajua, Mungu wangu, kwamba wewe huujaribu moyo na unapendezwa na unyofu. Vitu hivi vyote nimetoa kwa hiari na kwa moyo mnyofu. Nami sasa nimeona kwa furaha jinsi watu wako walioko hapa kwa hiari yao walivyokutolea wewe.

  16. Jó 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 2–22 de 26

    2Kisha akasema:

    12Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokeana matiti ili nipate kunyonyeshwa?

    22ambao hujawa na furaha,na hushangilia wafikapo kaburini?

  17. Provérbios 25

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 25
    Mostrando versículos 2–25 de 28

    2Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo,bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo.

    14Kama vile mawingu na upepo pasipo mvuandivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.

    25Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochokandivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.

  18. Êxodo 11

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 11
    Mostrando versículos 3–8 de 10

    3(Bwana akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)

    5Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.

    8Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka." Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.

  19. Salmos 71

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 71
    Mostrando versículos 4–19 de 24

    4Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu,kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.

    6Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,ulinitoa tumboni mwa mama yangu.Nitakusifu wewe daima.

    19Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu,wewe ambaye umefanya mambo makuu.Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?

  20. Gênesis 44

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículos 19–32 de 34

    19Bwana wangu aliwauliza watumishi wake, ‘Mnaye baba au ndugu?’

    31akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni.

    32Mtumwa wako alimhakikishia baba yangu usalama wa kijana. Nikamwambia, ‘Kama sikumrudisha kwako nitakuwa mwenye lawama mbele yako, baba yangu, maisha yangu yote!’

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo