Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

126 resultados encontrados

  1. Jó 28

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 28
    Mostrando versículo 1 de 28

    1"Kuna machimbo ya fedha,na mahali dhahabu isafishwapo.

  2. Gênesis 43

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 43
    Mostrando versículo 8 de 34

    8Ndipo Yuda akamwambia baba yake Israeli, "Mtume kijana pamoja nami, nasi tutaondoka mara, ili sisi na wewe pamoja na watoto wetu tuweze kuishi, wala tusife.

  3. Êxodo 11

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 11
    Mostrando versículo 2 de 10

    2Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu."

  4. Atos 23

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículo 24 de 35

    24Pia tayarisheni na farasi watakaotumiwa na Paulo, mkampeleke salama kwa mtawala Feliksi."

  5. 1 Crônicas 18

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículo 10 de 17

    10akamtuma mwanawe, Hadoramu kwa Mfalme Daudi ili kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Mfalme Hadadezeri, kwa kuwa alikuwa amepigana vita mara nyingi na Tou. Hadoramu akamletea Daudi vifaa mbalimbali vya dhahabu, fedha na shaba.

  6. Salmos 71

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 71
    Mostrando versículo 13 de 24

    13Washtaki wangu na waangamie kwa aibu,wale wanaotaka kunidhuruna wafunikwe kwa dharau na fedheha.

  7. Isaías 44

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículo 11 de 28

    11Yeye pamoja na wenziwe wa aina yake wataaibishwa,mafundi wao si kitu ila ni wanadamu tu.Wote wakusanyike pamoja na kuwa na msimamo wao,watashushwa chini kwa hofu na kwa fedheha.

  8. 2 Reis 7

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículo 1 de 20

    1Elisha akasema, "Sikiliza neno la Bwana. Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja7:1 Kipimo kimoja cha unga ni sawa na kilo 3. cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha,7:1 Shekeli moja ya fedha ni sawa na gramu 11. na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria."

  9. Cânticos 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículo 11 de 17

    11Tutakufanyia vipuli vya dhahabu,vyenye kupambwa kwa fedha.Mpendwa

  10. Eclesiastes 10

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículo 19 de 20

    19Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,nao mvinyo hufurahisha maisha,lakini fedha ni jawabu la mambo yote.

  11. 2 Crônicas 9

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 9
    Mostrando versículo 14 de 31

    14mbali na mapato yaliyoletwa na wafanyabiashara na wachuuzi. Wafalme wote wa Arabuni na watawala wa nchi wakamletea Solomoni dhahabu na fedha.

  12. Ezequiel 7

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículo 19 de 27

    19Watatupa fedha yao barabarani, nayo dhahabu yao itakuwa najisi. Fedha yao na dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana. Hawatashibisha njaa yao au kujaza matumbo yao kwa hiyo fedha wala dhahabu, kwa sababu imewaponza wajikwae dhambini.

  13. Oséias 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículo 2 de 16

    2Sasa wanatenda dhambi zaidi na zaidi;wanajitengenezea sanamukutokana na fedha yao,vinyago vilivyotengenezwa kwa uhodari,vyote kazi ya fundi stadi.Inasemekana kuhusu hawa watu,"Hutoa dhabihu za binadamuna kubusu sanamu za ndama."

  14. Esdras 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículo 13 de 36

    13wa wazao wa Adonikamu, hawa walikuwa wa mwisho ambao majina yao ni Elifeleti, Yeueli, Shemaya na wanaume 60 pamoja nao;

  15. Provérbios 25

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 25
    Mostrando versículo 4 de 28

    4Ondoa takataka kwenye madini ya fedha,nako ndani yake kutatokea chombocha mfua fedha.

  16. Salmos 109

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 109
    Mostrando versículo 29 de 31

    29Washtaki wangu watavikwa fedheha,na kufunikwa na aibu kama joho.

  17. Gênesis 44

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículo 1 de 34

    1Kisha Yosefu akampa yule msimamizi wa nyumbani mwake maagizo haya: "Jaza magunia ya watu hawa kiasi cha chakula ambacho wanaweza kuchukua, na uweke fedha ya kila mtu kwenye mdomo wa gunia lake.

  18. Deuteronômio 14

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 14
    Mostrando versículo 25 de 29

    25basi badilisheni zaka yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha mwende nayo mahali Bwana Mungu wenu atakapopachagua.

  19. Êxodo 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículo 10 de 21

    10pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

  20. Isaías 55

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 55
    Mostrando versículo 1 de 13

    1"Njooni, ninyi nyote wenye kiu,njooni kwenye maji;nanyi ambao hamna fedha,njooni, nunueni na mle!Njooni, nunueni divai na maziwabila fedha na bila gharama.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo