11Mfalme akamwambia Hamani, "Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo."
Resultados da busca por "fé"
128 resultados encontrados
- Capítulo 3
Ester 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 11 de 15 - Capítulo 38
Êxodo 38
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 2–19 de 312Akatengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu zikawa zimeungana, akafunika madhabahu kwa shaba.
6Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.
19likiwa na nguzo nne na vitako vinne vya shaba. Kulabu zake na tepe zake zilikuwa za fedha, na ncha zake zilikuwa zimefunikwa kwa fedha.
- Capítulo 7
Josué 7
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 4–14 de 264Basi wakapanda kama watu elfu tatu tu, lakini wakashambuliwa na watu wa Ai,
10Bwana akamwambia Yoshua, "Simama! Unafanya nini hapo chini kifudifudi?
14" ‘Asubuhi, mjihudhurishe kabila kwa kabila. Itakuwa kabila lile atakalolitwaa Bwana litakuja mbele ukoo kwa ukoo, ukoo ule atakaoutwaa Bwana utakuja mbele jamaa kwa jamaa, nayo jamaa ile atakayoitwaa Bwana itakuja mbele mtu kwa mtu.
- Capítulo 11
Zacarias 11
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 1–17 de 171Fungua milango yako, ee Lebanoni,ili moto uteketeze mierezi yako!
7Kwa hiyo nikalilisha kundi lililotiwa alama kwa kuchinjwa, hasa kundi lililoonewa sana. Kisha nikachukua fimbo mbili, moja nikaiita Fadhili na nyingine Umoja, nami nikalilisha kundi.
17"Ole wa mchungaji asiyefaa,anayeliacha kundi!Upanga na uupige mkono wake na jicho lake la kuume!Mkono wake na unyauke kabisa,jicho lake la kuume lipofuke kabisa!"
- Capítulo 8
Oséias 8
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 2–6 de 142Israeli ananililia,‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’
5Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama!Hasira yangu inawaka dhidi yao.Watakuwa najisi mpaka lini?
6Zimetoka katika Israeli!Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu.Atavunjwa vipande vipande,yule ndama wa Samaria.
- Capítulo 43
Gênesis 43
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 13–34 de 3413Mchukueni ndugu yenu pia mrudi kwa huyo mtu mara moja.
14Naye Mungu Mwenyezi43:14 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). awajalieni rehema mbele ya huyo mtu ili apate kumwachia yule ndugu yenu na Benyamini mweze kurudi pamoja. Kwangu mimi kama nikufiwa nimefiwa."
34Wakati walipelekewa sehemu ya chakula kutoka mezani mwa Yosefu, sehemu ya Benyamini ilikuwa mara tano zaidi ya sehemu ya wale wengine. Kwa hiyo wakanywa na kufurahi pamoja naye.
- Capítulo 52
Salmos 52
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 1–9 de 91Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?Kwa nini unajivuna mchana kutwa,wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?
3Unapenda mabaya kuliko mema,uongo kuliko kusema kweli.
9Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda,nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema.Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.
- Capítulo 23
Atos 23
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 13–26 de 3513Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi ya watu arobaini.
25Kisha akaandika barua kwa Feliksi kama ifuatavyo:
26Klaudio Lisia,Kwa Mtawala, Mtukufu Feliksi:Salamu.
- Capítulo 44
Isaías 44
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 15–27 de 2815Ni kuni ya binadamu:yeye huchukua baadhi yake na kuota moto,huwasha moto na kuoka mkate.Lakini pia huutumia kumtengeneza mungu na akamwabudu,huitengeneza sanamu na kuisujudia.
17Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake;yeye huisujudia na kuiabudu.Huiomba na kusema,"Niokoe; wewe ni mungu wangu."
27niambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka,nami nitakausha vijito vyako,’
- Capítulo 7
2 Reis 7
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 3–16 de 203Basi kulikuwepo na watu wanne wenye ukoma katika ingilio la lango la mji. Wakaambiana, "Kwa nini tukae hapa mpaka tufe?
4Kama tukisema, ‘Tutaingia mjini,’ mjini kuna njaa, nasi tutakufa humo. Kama tukikaa hapa, tutakufa. Kwa hiyo twende kwenye kambi ya Waaramu na tujisalimishe. Kama wakituacha hai, tutaishi; kama wakituua, basi na tufe."
16Kisha watu wakatoka na kuteka nyara kambi ya Waaramu. Kwa hiyo kipimo cha unga mzuri kikauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kama vile Bwana alivyokuwa amesema.
- Capítulo 1
Cânticos 1
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 1–13 de 171Wimbo ulio bora wa Solomoni.Mpendwa
9Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jikealiyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.
13Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemanekati ya matiti yangu.
- Capítulo 10
Eclesiastes 10
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 5–13 de 205Kuna ubaya niliouona chini ya jua,aina ya kosa litokalo kwa mtawala:
9Yeyote apasuaye maweinawezekana yakamuumiza,yeyote apasuaye magogoinawezekana yakamuumiza.
13Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,mwishoni ni wazimu mbaya,
- Capítulo 9
2 Crônicas 9
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 7–28 de 317Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako!
8Ahimidiwe Bwana Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe, na akakuweka juu ya kiti chake cha ufalme utawale kwa niaba ya Bwana Mungu wako. Kwa sababu ya upendo wa Mungu wako kwa Israeli na shauku yake ya kuwadhibitisha milele, amekufanya wewe mfalme juu yao, ili kudumisha haki na uadilifu."
28Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.
- Capítulo 8
Esdras 8
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 6–17 de 366wa wazao wa Adini, alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume 50 pamoja naye;
10wa wazao wa Bani, alikuwa Shelomithi mwana wa Yosifia na wanaume 160 pamoja naye;
17nikawatuma kwa Ido kiongozi huko Kasifia. Niliwaambia watakayomwambia Ido na ndugu zake, watumishi wa Hekalu8:17 Yaani Wanethini (pia 8:20). huko Kasifia, ili waweze kutuletea wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.
- Capítulo 29
1 Crônicas 29
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 13–17 de 3013Sasa, Mungu wetu, tunakushukuruna kulisifu Jina lako tukufu.
15Sisi ni wageni na wapitaji machoni pako, kama walivyokuwa baba zetu wote. Siku zetu duniani ni kama kivuli, bila tumaini.
17Ninajua, Mungu wangu, kwamba wewe huujaribu moyo na unapendezwa na unyofu. Vitu hivi vyote nimetoa kwa hiari na kwa moyo mnyofu. Nami sasa nimeona kwa furaha jinsi watu wako walioko hapa kwa hiari yao walivyokutolea wewe.
- Capítulo 3
Jó 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 2–22 de 262Kisha akasema:
12Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokeana matiti ili nipate kunyonyeshwa?
22ambao hujawa na furaha,na hushangilia wafikapo kaburini?
- Capítulo 25
Provérbios 25
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 2–25 de 282Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo,bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo.
14Kama vile mawingu na upepo pasipo mvuandivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.
25Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochokandivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
- Capítulo 11
Êxodo 11
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 3–8 de 103(Bwana akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)
5Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.
8Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka." Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.
- Capítulo 71
Salmos 71
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 4–19 de 244Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu,kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.
6Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,ulinitoa tumboni mwa mama yangu.Nitakusifu wewe daima.
19Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu,wewe ambaye umefanya mambo makuu.Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?
- Capítulo 44
Gênesis 44
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículos 19–32 de 3419Bwana wangu aliwauliza watumishi wake, ‘Mnaye baba au ndugu?’
31akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni.
32Mtumwa wako alimhakikishia baba yangu usalama wa kijana. Nikamwambia, ‘Kama sikumrudisha kwako nitakuwa mwenye lawama mbele yako, baba yangu, maisha yangu yote!’