4 Katika siku hiyo mtasema:
"Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake;
julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya,
tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
4 Katika siku hiyo mtasema:
"Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake;
julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya,
tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
+581 estão orando agora.
Junte-se à corrente de oração.