Pular para o conteúdo
Publicidade

Isaías 29

13 Bwana anasema:

"Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao

na kuniheshimu kwa midomo yao,

lakini mioyo yao iko mbali nami.

Ibada yao kwangu inatokana na maagizo

waliyofundishwa na wanadamu.

Veja também