Mwokozi Pekee Wa Israeli
1 Lakini sasa hili ndilo asemalo Bwana,
yeye aliyekuumba, ee Yakobo,
yeye aliyekuhuluku, ee Israeli:
"Usiogope kwa maana nimekukomboa,
nimekuita wewe kwa jina lako, wewe u wangu.
1 Lakini sasa hili ndilo asemalo Bwana,
yeye aliyekuumba, ee Yakobo,
yeye aliyekuhuluku, ee Israeli:
"Usiogope kwa maana nimekukomboa,
nimekuita wewe kwa jina lako, wewe u wangu.