18 "Msiyakumbuke mambo yaliyopita,
wala msiyatafakari mambo ya zamani.
19 Tazama, nitafanya jambo jipya!
Sasa litachipuka, je, hamtalitambua?
Nitafanya njia jangwani
na vijito vya maji katika nchi kame.
18 "Msiyakumbuke mambo yaliyopita,
wala msiyatafakari mambo ya zamani.
19 Tazama, nitafanya jambo jipya!
Sasa litachipuka, je, hamtalitambua?
Nitafanya njia jangwani
na vijito vya maji katika nchi kame.