Publicidade

Isaías 66

Hukumu Na Matumaini

1 Hili ndilo asemalo Bwana,

"Mbingu ni kiti changu cha enzi,

nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu.

Iko wapi nyumba mtakayoijenga kwa ajili yangu?

Mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?

2 Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote,

hivyo vikapata kuwepo?"

asema Bwana.

"Mtu huyu ndiye ninayemthamini:

yeye ambaye ni mnyenyekevu

na mwenye roho yenye toba,

atetemekaye asikiapo neno langu.

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-28_14-13-17-