2 Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote,
hivyo vikapata kuwepo?"
asema Bwana.
"Mtu huyu ndiye ninayemthamini:
yeye ambaye ni mnyenyekevu
na mwenye roho yenye toba,
atetemekaye asikiapo neno langu.
2 Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote,
hivyo vikapata kuwepo?"
asema Bwana.
"Mtu huyu ndiye ninayemthamini:
yeye ambaye ni mnyenyekevu
na mwenye roho yenye toba,
atetemekaye asikiapo neno langu.