Publicidade

Provérbios 1

Utangulizi: Kusudi Na Kiini

1 Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:

2 Kwa kupata hekima na nidhamu;

kwa kufahamu maneno ya busara;

3 kwa kujipatia nidhamu na busara,

kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea;

4 huwapa busara wajinga,

maarifa na akili kwa vijana;

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-28_14-13-17-