Pular para o conteúdo
Publicidade

Mithali 6

Onyo Dhidi Ya Uasherati

20 Mwanangu, zishike amri za baba yako,

wala usiyaache mafundisho ya mama yako.

21 Yafunge katika moyo wako daima,

yakaze kuizunguka shingo yako.

22 Wakati utembeapo, yatakuongoza;

wakati ulalapo, yatakulinda;

wakati uamkapo, yatazungumza nawe.

23 Kwa maana amri hizi ni taa,

mafundisho haya ni mwanga

na maonyo ya maadili ni njia ya uzima,

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também