10 Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, "Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!" Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
Publicidade
10 Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, "Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!" Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.