Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Pedro 2

Mfano wa mateso ya Al-Masihi

21 Ninyi mliitwa kwa ajili ya haya, kwa sababu Al-Masihi naye aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachia kielelezo, ili mzifuate nyayo zake.

22 "Yeye hakutenda dhambi,

wala hila haikuonekana kinywani mwake."

23 Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutishia, bali alijikabidhi kwa yeye ahukumuye kwa haki.

Veja também