16 Kuna mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu Hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema:
"Nitakaa pamoja nao
na kutembea katikati yao,
nami nitakuwa Mungu wao,
nao watakuwa watu wangu."
16 Kuna mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu Hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema:
"Nitakaa pamoja nao
na kutembea katikati yao,
nami nitakuwa Mungu wao,
nao watakuwa watu wangu."