Publicidade

2 Coríntios 6

16 Kuna mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu Hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema:

"Nitakaa pamoja nao

na kutembea katikati yao,

nami nitakuwa Mungu wao,

nao watakuwa watu wangu."

Veja também

Publicidade
2 Coríntios
Ver todos os capítulos de 2 Coríntios
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-22_10-02-25-