2Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Isa Bwana wetu.
6katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;
7katika utauwa, upendano wa kindugu; na katika upendano wa kindugu, upendo.
31 resultados encontrados
2Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Isa Bwana wetu.
6katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;
7katika utauwa, upendano wa kindugu; na katika upendano wa kindugu, upendo.
21Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
36Adama, Rama, Hazori,
46Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
3Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.
5Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Isa ni Mwana wa Mungu5:5 Yaani Mwana wa asili moja na Mwenyezi Mungu (Yohana 1:1-2), wa kiroho, bali si wa kimwili..
21Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.
9Moyo ni mdanganyifu kuliko vitu vyote,ni mwovu kupita kiasi.Ni nani awezaye kuujua?
13Ee Mwenyezi Mungu, uliye tumaini la Israeli,wote wakuachao wataaibika.Wale wanaogeukia mbali nawe wataandikwa mavumbinikwa sababu wamemwacha Mwenyezi Mungu,chemchemi ya maji yaliyo hai.
15Wao huendelea kuniambia,"Liko wapi neno la Mwenyezi Mungu?Sasa na litimie!"
10Tazama jinsi pendo lako linavyofurahisha,dada yangu, bibi arusi wangu!Pendo lako linafurahisha aje zaidi ya divai,na harufu ya marhamu yako zaidi ya manukato yoyote!
15Wewe ni chemchemi ya bustani,kisima cha maji yanayotiririka,yakitiririka kutoka Lebanoni.Mpendwa
16Amka, upepo wa kaskazini,na uje, upepo wa kusini!Vuma juu ya bustani yangu,ili harufu yake nzuri iweze kuenea mpaka ng’ambo.Mpenzi wangu na aje bustanini mwakena kuonja matunda mazuri sana.
2Seraya, Azaria, Yeremia,
3Pashuri, Amaria, Malkiya,
25Rehumu, Hashabna, Maaseya,
14Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
16Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
27Tera akamzaa Abramu (yaani Ibrahimu).
12Tunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki; tunapoteswa, tunastahimili;
13tunaposingiziwa, tunajibu kwa upole. Hadi sasa tumekuwa kama takataka ya dunia na uchafu wa ulimwengu.
21Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?
5Mungu atoaye saburi na faraja awajalie ninyi roho ya umoja miongoni mwenu mnapomfuata Al-Masihi Isa,
7Karibishaneni ninyi kwa ninyi kama Al-Masihi alivyowakaribisha ninyi ili kumletea Mungu utukufu.
33Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amen.
18Kiburi hutangulia maangamizi,roho ya majivuno hutangulia maanguko.
24Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali,ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye mifupa.
31Mvi ni taji la utukufu;hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
1Fuateni upendo na kutaka sana karama za roho, hasa karama ya unabii.
2Kwa maana mtu yeyote anayesema kwa lugha, hasemi na wanadamu bali anasema na Mungu. Kwa kuwa hakuna mtu yeyote anayemwelewa, kwani anasema mambo ya siri kwa roho.
32Roho za manabii huwatii manabii.