Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "amor"

31 resultados encontrados

  1. 2 Pedro 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 2–7 de 21

    2Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Isa Bwana wetu.

    6katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;

    7katika utauwa, upendano wa kindugu; na katika upendano wa kindugu, upendo.

  2. Josué 19

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 21–46 de 51

    21Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.

    36Adama, Rama, Hazori,

    46Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.

  3. 1 João 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 3–21 de 21

    3Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.

    5Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Isa ni Mwana wa Mungu5:5 Yaani Mwana wa asili moja na Mwenyezi Mungu (Yohana 1:1-2), wa kiroho, bali si wa kimwili..

    21Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.

  4. Jeremias 17

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 9–15 de 27

    9Moyo ni mdanganyifu kuliko vitu vyote,ni mwovu kupita kiasi.Ni nani awezaye kuujua?

    13Ee Mwenyezi Mungu, uliye tumaini la Israeli,wote wakuachao wataaibika.Wale wanaogeukia mbali nawe wataandikwa mavumbinikwa sababu wamemwacha Mwenyezi Mungu,chemchemi ya maji yaliyo hai.

    15Wao huendelea kuniambia,"Liko wapi neno la Mwenyezi Mungu?Sasa na litimie!"

  5. Cânticos 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 10–16 de 16

    10Tazama jinsi pendo lako linavyofurahisha,dada yangu, bibi arusi wangu!Pendo lako linafurahisha aje zaidi ya divai,na harufu ya marhamu yako zaidi ya manukato yoyote!

    15Wewe ni chemchemi ya bustani,kisima cha maji yanayotiririka,yakitiririka kutoka Lebanoni.Mpendwa

    16Amka, upepo wa kaskazini,na uje, upepo wa kusini!Vuma juu ya bustani yangu,ili harufu yake nzuri iweze kuenea mpaka ng’ambo.Mpenzi wangu na aje bustanini mwakena kuonja matunda mazuri sana.

  6. Neemias 10

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 2–25 de 39

    2Seraya, Azaria, Yeremia,

    3Pashuri, Amaria, Malkiya,

    25Rehumu, Hashabna, Maaseya,

  7. 1 Crônicas 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 14–27 de 54

    14Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

    16Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.

    27Tera akamzaa Abramu (yaani Ibrahimu).

  8. 1 Coríntios 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 12–21 de 21

    12Tunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki; tunapoteswa, tunastahimili;

    13tunaposingiziwa, tunajibu kwa upole. Hadi sasa tumekuwa kama takataka ya dunia na uchafu wa ulimwengu.

    21Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?

  9. Romanos 15

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 5–33 de 33

    5Mungu atoaye saburi na faraja awajalie ninyi roho ya umoja miongoni mwenu mnapomfuata Al-Masihi Isa,

    7Karibishaneni ninyi kwa ninyi kama Al-Masihi alivyowakaribisha ninyi ili kumletea Mungu utukufu.

    33Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amen.

  10. Provérbios 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 18–31 de 33

    18Kiburi hutangulia maangamizi,roho ya majivuno hutangulia maanguko.

    24Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali,ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye mifupa.

    31Mvi ni taji la utukufu;hupatikana kwa maisha ya uadilifu.

  11. 1 Coríntios 14

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 1–32 de 40

    1Fuateni upendo na kutaka sana karama za roho, hasa karama ya unabii.

    2Kwa maana mtu yeyote anayesema kwa lugha, hasemi na wanadamu bali anasema na Mungu. Kwa kuwa hakuna mtu yeyote anayemwelewa, kwani anasema mambo ya siri kwa roho.

    32Roho za manabii huwatii manabii.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo