8kama ni kutia moyo na …
9Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.
10Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine.
30 resultados encontrados
8kama ni kutia moyo na …
9Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.
10Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine.
7Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa. …
8Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria.
9Kwa kuwa amri hizi zisemazo, "Usizini," "Usiue," "Usiibe," "Usitamani," na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama nafsi yako."
5Haukosi kuwa na adabu, hautafuti …
6Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
7Upendo huvumilia yote, huamini yote, …
3Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu …
4Mali huleta rafiki wengi,
5Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,
6Watiini, si tu wakati wakiwaona …
7Tumikeni kwa moyo wote, kama vile mngemtumikia, wala si wanadamu,
8mkijua kwamba Bwana Isa atampa …
10Ikiwa Timotheo atakuja kwenu, hakikisheni …
11Basi asiwepo mtu atakayekataa kumpokea. Msafirisheni kwa amani ili aweze kunijia tena. Namtarajia pamoja na ndugu.
12Basi kwa habari za ndugu …
12Mfalme alipokuwa mezani pake,
13Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane
14Mpenzi wangu kwangu mimi ni …
4Furahini katika Bwana Isa siku …
5Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana Isa yu karibu.
6Msijisumbue kwa jambo lolote, bali …
4Hasira ni ukatili na ghadhabu …
5Afadhali karipio la wazi
6Majeraha kutoka kwa rafiki yaonesha …
1Endeleeni kupendana kama ndugu.
2Msisahau kuwakaribisha wageni, kwa kuwa …
11Nimewaambia mambo haya ili furaha …
12Amri yangu ndiyo hii: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi.
13Hakuna mtu mwenye upendo mkuu kuliko huu, mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
12Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale …
13Waheshimuni sana katika upendo kwa ajili ya kazi zao. Ishini kwa amani ninyi kwa ninyi.
14Nasi twawasihi, ndugu, waonyeni walio …
7Mwisho wa mambo yote umekaribia. …
8Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
9Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manung’uniko.
6Je, hutatuhuisha tena,
7Utuoneshe upendo wako usiokoma, Ee Mwenyezi Mungu,
8Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye …
10Nanyi baada ya kuteswa kwa …
11Uweza una yeye milele na milele. Amen.
12Kwa msaada wa Silvano5:12 yaani Sila, ninayemhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.
6Sisi twatokana na Mungu na …
7Wapendwa, tupendane, kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu. Kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.
8Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa …
1Mzee.
2Mpendwa, naomba ufanikiwe katika mambo …
21Kabila la Benyamini, kufuatana na …
22Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,
23Avimu, Para na Ofra,
8Hata hivyo, ingawa katika Al-Masihi …
9lakini ninakuomba kwa upendo. Mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Al-Masihi Isa,
10nakuomba kwa ajili ya mwanangu …
1Simoni Petro, mtumishi na mtume …
2Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Isa Bwana wetu.
3Uweza wake wa uungu umetupatia …