Publicidade

Resultados da busca por "amor"

30 resultados encontrados

8kama ni kutia moyo na

9Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.

10Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine.

7Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa.

8Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria.

9Kwa kuwa amri hizi zisemazo, "Usizini," "Usiue," "Usiibe," "Usitamani," na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama nafsi yako."

5Haukosi kuwa na adabu, hautafuti

6Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.

7Upendo huvumilia yote, huamini yote,

3Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu

4Mali huleta rafiki wengi,

5Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,

6Watiini, si tu wakati wakiwaona

7Tumikeni kwa moyo wote, kama vile mngemtumikia, wala si wanadamu,

8mkijua kwamba Bwana Isa atampa

10Ikiwa Timotheo atakuja kwenu, hakikisheni

11Basi asiwepo mtu atakayekataa kumpokea. Msafirisheni kwa amani ili aweze kunijia tena. Namtarajia pamoja na ndugu.

12Basi kwa habari za ndugu

12Mfalme alipokuwa mezani pake,

13Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane

14Mpenzi wangu kwangu mimi ni

4Furahini katika Bwana Isa siku

5Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana Isa yu karibu.

6Msijisumbue kwa jambo lolote, bali

4Hasira ni ukatili na ghadhabu

5Afadhali karipio la wazi

6Majeraha kutoka kwa rafiki yaonesha

1Endeleeni kupendana kama ndugu.

2Msisahau kuwakaribisha wageni, kwa kuwa

11Nimewaambia mambo haya ili furaha

12Amri yangu ndiyo hii: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi.

13Hakuna mtu mwenye upendo mkuu kuliko huu, mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.

12Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale

13Waheshimuni sana katika upendo kwa ajili ya kazi zao. Ishini kwa amani ninyi kwa ninyi.

14Nasi twawasihi, ndugu, waonyeni walio

7Mwisho wa mambo yote umekaribia.

8Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.

9Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manung’uniko.

6Je, hutatuhuisha tena,

7Utuoneshe upendo wako usiokoma, Ee Mwenyezi Mungu,

8Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye

10Nanyi baada ya kuteswa kwa

11Uweza una yeye milele na milele. Amen.

12Kwa msaada wa Silvano5:12 yaani Sila, ninayemhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.

6Sisi twatokana na Mungu na

7Wapendwa, tupendane, kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu. Kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.

8Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa

1Mzee.

2Mpendwa, naomba ufanikiwe katika mambo

21Kabila la Benyamini, kufuatana na

22Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,

23Avimu, Para na Ofra,

8Hata hivyo, ingawa katika Al-Masihi

9lakini ninakuomba kwa upendo. Mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Al-Masihi Isa,

10nakuomba kwa ajili ya mwanangu

1Simoni Petro, mtumishi na mtume

2Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Isa Bwana wetu.

3Uweza wake wa uungu umetupatia

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-20_17-16-08-