Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "paz"

48 resultados encontrados

  1. 2 Crônicas 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 5–14 de 17

    5Akaufunika ukumbi mkuu kwa mbao za msunobari, na kufunikwa kwa dhahabu safi, na kuupamba kwa michoro ya mitende na minyororo.

    10Katika sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu akatengeneza jozi moja ya makerubi ya kuchongwa na kuyafunika kwa dhahabu.

    14Akatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na za kitani safi, na kutarizi makerubi juu yake.

  2. Números 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 5–44 de 51

    5Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

    11Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

    44Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

  3. Hebreus 10

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 6–31 de 39

    6sadaka za kuteketezwa na za dhambihukupendezwa nazo.

    20kwa njia mpya iliyo hai tuliyofunguliwa kwa ajili yetu kupitia kwenye lile pazia, yaani mwili wake,

    31Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.

  4. Lamentações 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 10–27 de 66

    10Kama dubu aviziaye,kama simba mafichoni,

    17Amani yangu imeondolewa,nimesahau kufanikiwa ni nini.

    27Ni vyema mtu kuchukua nirabado angali kijana.

  5. 2 Reis 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículo 13 de 20

    13Akatoa sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka, akamimina sadaka ya kinywaji na kunyunyizia damu ya sadaka zake za amani juu ya hayo madhabahu.

  6. Marcos 15

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 6–38 de 47

    6Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.

    33Ilipofika saa sita, giza liliifunika nchi yote hadi saa tisa.

    38Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili kuanzia juu hadi chini.

  7. Números 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 17–42 de 49

    17Mwenyezi Mungu akawaambia Musa na Haruni,

    26mapazia ya ua unaozunguka Maskani na madhabahu, pazia la maingilio, kamba na vifaa vyote vinavyotumika katika huduma yake. Wagershoni watafanya yote yatakiwayo kufanyika na vitu hivi.

    42Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

  8. Lucas 23

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 1–45 de 56

    1Kisha umati wote wa watu wakainuka na kumpeleka Isa kwa Pilato.

    29Kwa maana wakati utafika mtakaposema, ‘Wamebarikiwa wanawake tasa, ambao tumbo zao hazikuzaa, wala matiti yao hayakunyonyesha!’

    45kwa sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili.

  9. Mateus 27

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 16–52 de 66

    16Palikuwa na mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba.

    45Tangu saa sita hadi saa tisa giza liliifunika nchi yote.

    52Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu waliokuwa wamekufa ikafufuliwa.

  10. Isaías 54

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 54
    Mostrando versículos 4–14 de 17

    4"Usiogope, wewe hutaaibika.Usiogope aibu, wewe hutaaibishwa.Wewe utasahau aibu ya ujana wako,wala hutakumbuka tena mashutumu ya ujane wako.

    13Watoto wako wote watafundishwa na Mwenyezi Mungu,nayo amani ya watoto wako itakuwa kuu.

    14Kwa haki utathibitika:Kuonewa kutakuwa mbali nawe;hutaogopa chochote.Hofu itakuwa mbali nawe;haitakukaribia wewe.

  11. Êxodo 36

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 36
    Mostrando versículos 18–26 de 38

    18Wakatengeneza vifungo hamsini vya shaba ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja.

    25Kwa upande wa kaskazini wa Maskani wakatengeneza mihimili ishirini

    26na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

  12. Levítico 24

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 24
    Mostrando versículos 1–18 de 23

    1Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

    17" ‘Kama mtu yeyote atamuua mtu mwingine, ni lazima auawe.

    18Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.

  13. Hebreus 9

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 9
    Mostrando versículos 3–19 de 28

    3Nyuma ya pazia la pili, palikuwa na sehemu iliyoitwa Patakatifu pa Patakatifu,

    16Kwa habari ya wosia9:16 yaani agano, ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,

    19Musa alipotangaza kila amri kwa watu wote, alichukua damu ya ndama na ya mbuzi, pamoja na maji, sufu nyekundu na matawi ya mti wa hisopo, akanyunyizia kile kitabu na watu wote.

  14. Números 18

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículos 10–29 de 32

    10Mtaila kama kitu kilicho kitakatifu sana; kila mwanaume ataila. Ni lazima mtaiheshimu kama takatifu.

    25Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

    29Ni lazima mtoe kama sehemu ya Mwenyezi Mungu iliyo nzuri sana tena ile sehemu iliyo takatifu sana kuliko zote ya kile kitu mlichopewa.’

  15. 2 Reis 23

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 18–23 de 37

    18Akasema, "Liacheni, msiliguse. Msimruhusu mtu yeyote kuiondoa mifupa yake." Basi wakaiacha mifupa yake pamoja na ile ya yule nabii aliyekuwa amekuja kutoka Samaria.

    21Mfalme akatoa agizo hili kwa watu wote: "Adhimisheni Pasaka kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, kama ilivyoandikwa katika Kitabu hiki cha Agano."

    23Lakini katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Yosia, Pasaka hii iliadhimishwa kwa Mwenyezi Mungu huko Yerusalemu.

  16. Isaías 58

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 58
    Mostrando versículos 1–12 de 14

    1"Piga kelele, usizuie.Paza sauti yako kama tarumbeta.Watangazieni watu wangu uasi wao,na kwa nyumba ya Yakobo dhambi zao.

    11Mwenyezi Mungu atakuongoza siku zote,atayatosheleza mahitaji yako katika nchi kame,naye ataitia nguvu mifupa yako.Utakuwa kama bustani iliyonyweshwa vizuri,kama chemchemi ambayo maji yake hayakauki kamwe.

    12Watu wako watajenga tena magofu ya zamanina kuinua misingi ya kale;utaitwa Mwenye Kukarabati Kuta Zilizobomoka,Mwenye Kurejesha Barabara za Makao.

  17. Êxodo 27

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 2–6 de 21

    2Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.

    5Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.

    6Tengeneza mipiko ya mti wa mshita kwa ajili ya madhabahu, na uifunike kwa shaba.

  18. Levítico 21

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 21
    Mostrando versículos 12–16 de 24

    12wala asiondoke mahali patakatifu pa Mungu wake au kupanajisi, kwa sababu amewekwa wakfu kwa mafuta ya Mungu wake. Mimi ndimi Mwenyezi Mungu.

    15na hivyo hatawatia unajisi wazao wake miongoni mwa watu wake. Mimi ndimi Mwenyezi Mungu, nimfanyaye mtakatifu.’ "

    16Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

  19. Isaías 32

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 32
    Mostrando versículos 17–20 de 20

    17Matunda ya haki yatakuwa amani,matokeo ya haki yatakuwa utulivuna matumaini milele.

    18Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani,katika nyumba zilizo salama,katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.

    20tazama jinsi utakavyobarikiwa,ukipanda mbegu yako katika kila kijito,na kuwaacha ng’ombe wakona punda wajilishe kwa uhuru.

  20. Êxodo 35

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 35
    Mostrando versículos 12–18 de 35

    12Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia;

    17pazia la eneo la ua pamoja na nguzo zake na vitako vyake, na pazia la ingilio la ua;

    18vigingi vya hema kwa ajili ya Maskani pamoja na ua na kamba zake;

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo