Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "paz"

48 resultados encontrados

  1. Gálatas 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 1–23 de 26

    1Al-Masihi alitupatia uhuru, akataka tubaki huru. Hivyo simameni imara wala msikubali tena kulemewa na nira ya utumwa.

    20kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,

    23upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria.

  2. Salmos 128

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 128
    Mostrando versículos 1–6 de 6

    1Heri wale wote wamchao Mwenyezi Mungu,wanaoenda katika njia zake.

    4Hivyo ndivyo atakavyobarikiwamtu amchaye Mwenyezi Mungu.

    6nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako.Amani iwe juu ya Israeli.

  3. 1 Pedro 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 11–14 de 14

    11Uweza una yeye milele na milele. Amen.

    13Kundi la waumini lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.

    14Salimianeni kwa busu la upendo.Amani iwe nanyi nyote mlio katika Al-Masihi.

  4. Neemias 7

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 41–51 de 73

    41wazao wa Pashuri, elfu moja mia mbili arobaini na saba (1,247);

    47wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,

    51wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,

  5. Levítico 23

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 5–39 de 44

    5Pasaka ya Mwenyezi Mungu huanza jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.

    35Siku ya kwanza ni kusanyiko takatifu, msifanye kazi zenu za kawaida.

    39" ‘Basi kuanzia siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, baada ya kuvuna mazao yote ya nchi, mtaadhimisha sikukuu kwa Mwenyezi Mungu kwa siku saba; siku ya kwanza ni Sabato ya mapumziko, na pia siku ya nane ni Sabato ya mapumziko.

  6. Levítico 7

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 11–32 de 38

    11" ‘Haya ndio masharti kwa ajili ya sadaka ya amani ambayo mtu aweza kuileta kwa Mwenyezi Mungu:

    13Pamoja na sadaka yake ya amani ya shukrani, ataleta sadaka ya maandazi yaliyotengenezwa kwa chachu.

    32Paja la kulia la sadaka zako za amani utampa kuhani kama matoleo.

  7. Isaías 12

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 3–6 de 6

    3Kwa furaha mtachota majikutoka visima vya wokovu.

    5Mwimbieni Mwenyezi Mungu, kwa kuwa ametenda mambo makuu,hili na lijulikane duniani kote.

    6Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni,kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu."

  8. Salmos 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 1–6 de 11

    1Ee Mungu, uniweke salama,kwa maana kwako nimekimbilia.

    3Kuhusu watakatifu walio duniani,hao ndio wenye fahari,na ninapendezwa nao.

    6Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri,hakika nimepata urithi mzuri.

  9. Oséias 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 1–10 de 15

    1"Sikieni hili, enyi makuhani!Kuweni wasikivu, enyi Waisraeli!Sikieni, ee nyumba ya mfalme!Hukumu hii ni dhidi yenu:Mmekuwa mtego huko Mispa,wavu uliotandwa juu ya Tabori.

    2Waasi wamezidisha sana mauaji.Mimi nitawatiisha wote.

    10Viongozi wa Yuda ni kama walewanaosogeza mawe ya mpaka.Nitamwaga ghadhabu yangu juu yaokama mafuriko ya maji.

  10. Isaías 52

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 52
    Mostrando versículos 1–11 de 15

    1Amka, amka, ee Sayuni,jivike nguvu.Vaa mavazi yako ya fahari,ee Yerusalemu, mji mtakatifu.Asiyetahiriwa na aliye najisihataingia kwako tena.

    2Jikung’ute mavumbi yako,inuka, uketi kwenye kiti cha utawala, ee Yerusalemu.Jifungue minyororo iliyo shingoni mwako,ee Binti Sayuni uliye mateka.

    11Ondokeni, ondokeni, tokeni huko!Msiguse kitu chochote kilicho najisi!Tokeni kati yake mwe safi,ninyi mchukuao vyombo vya Mwenyezi Mungu.

  11. Êxodo 26

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 26
    Mostrando versículos 20–35 de 37

    20Kuhusu upande wa kaskazini wa Maskani, tengeneza mihimili ishirini

    28Taruma la katikati litapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine.

    35Weka meza nje ya pazia upande wa kaskazini wa maskani ya Mungu, kisha weka kinara cha taa upande wa kusini wa maskani.

  12. Oséias 9

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 9
    Mostrando versículos 1–14 de 17

    1Usifurahie, ee Israeli;usishangilie kama mataifa mengine.Kwa kuwa hukuwamwaminifu kwa Mungu wako;umependa ujira wa kahaba kwenye kila sakafuya kupuria nafaka.

    12Hata wakilea watoto,nitamuua kila mmoja.Ole waonitakapowapiga kisogo!

    14Wape, Ee Mwenyezi Mungu,je, utawapa nini?Wape tumbo zinazoharibu mimbana matiti yaliyokauka.

  13. Tiago 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 19–26 de 26

    19Unaamini kwamba kuna Mungu mmoja. Vyema! Hata mashetani wanaamini hivyo na kutetemeka.

    20Ewe mpumbavu! Je, wataka kujua kwamba imani bila matendo haifai kitu?

    26Kama vile mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.

  14. Sofonias 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–14 de 20

    1Ole mji wa wadhalimu,waasi na waliotiwa unajisi!

    10Kutoka ng’ambo ya mito ya Kushiwatu wangu wanaoniabudu,watu wangu waliotawanyika,wataniletea sadaka.

    14Imba, ee Binti Sayuni;paza sauti, ee Israeli!Furahi na kushangilia kwa moyo wako wote,ee Binti Yerusalemu!

  15. Gálatas 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 7–26 de 31

    7Kwa hiyo, wewe si mtumwa tena, bali ni mwana. Na kwa kuwa wewe ni mwana, Mungu amekufanya wewe pia kuwa mrithi kupitia kwa Al-Masihi.

    10Mnaadhimisha siku maalum, miezi, nyakati na miaka!

    26Lakini Yerusalemu wa juu ni huru, nayo ndiye mama yetu.

  16. Êxodo 40

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 40
    Mostrando versículos 8–26 de 38

    8Tengeneza ua kuzunguka maskani ya Mungu, na uweke pazia penye ingilio la ua.

    11Paka sinia mafuta pamoja na kishikilio chake na uviweke wakfu.

    26Musa akaweka madhabahu ya dhahabu ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia,

  17. 2 Reis 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 22–24 de 25

    22Nayo yale maji yakaponywa hadi leo, sawasawa na neno la Al-Yasa alilokuwa amesema.

    23Kutoka huko Al-Yasa akakwea kwenda Betheli. Ikawa alipokuwa akitembea barabarani, baadhi ya vijana wakatoka mjini na kumfanyia mzaha. Wakasema, "Paa, wewe mwenye upara! Paa, wewe mwenye upara!"

    24Akageuka, akawatazama na kuwalaani kwa Jina la Mwenyezi Mungu. Kisha dubu jike wawili wakatokea mwituni na kuwararua vijana arobaini na wawili miongoni mwao.

  18. Gênesis 49

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 49
    Mostrando versículos 14–30 de 33

    14"Isakari ni punda mwenye nguvuambaye amelala kati ya mizigo yake.

    21"Naftali ni kulungu jike aliyeachiwa huruazaaye watoto wazuri.

    30pango lililoko katika shamba la Makpela, karibu na Mamre huko Kanaani, ambalo Ibrahimu alinunua liwe mahali pa kuzikia kutoka kwa Efroni, Mhiti, pamoja na shamba.

  19. Jó 22

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 8–17 de 30

    8ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi:mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.

    14Mawingu mazito ni pazia lake, hivyo hatuoni sisiatembeapo juu ya anga la dunia.

    17Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi!Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’

  20. Hebreus 6

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 2–20 de 20

    2mafundisho kuhusu aina za ubatizo6:2 Ubatizo ni ishara ya kuungama dhambi na kusamehewa na Mwenyezi Mungu, na kuweka nadhiri ya kubadilisha mienendo ya awali. Wafuasi wa Isa Al-Masihi pia wanapokea Roho wa Mungu kama dhibitisho ya imani yao., kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele.

    16Wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao, nacho kiapo hicho huthibitisha kile kilichosemwa na hivyo humaliza mabishano yote.

    20ambapo Isa mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo