Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "salvação"

61 resultados encontrados

  1. Jeremias 20

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 20
    Mostrando versículos 7–14 de 18

    7Ee Mwenyezi Mungu, umenidanganya,nami nikadanganyika;wewe una nguvu kuliko mimi,nawe umenishinda.Ninadharauliwa mchana kutwa,kila mmoja ananidhihaki.

    13Mwimbieni Mwenyezi Mungu!Mpeni Mwenyezi Mungu sifa!Yeye huokoa uhai wa mhitajikutoka mikononi mwa waovu.

    14Ilaaniwe siku niliyozaliwa!Nayo isibarikiwe ile sikumama yangu aliyonizaa!

  2. Daniel 6

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 14–27 de 28

    14Mfalme aliposikia hili, akahuzunika mno. Akakusudia kumwokoa Danieli, hivyo akafanya kila jitihada ya kumwokoa hadi jua likatua.

    21Danieli akajibu, "Ee mfalme, uishi milele!

    27Huponya na kuokoa;hufanya ishara na maajabumbinguni na duniani.Amemwokoa Danielikutoka nguvu za simba."

  3. 2 Samuel 23

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 27–38 de 39

    27Abiezeri kutoka Anathothi;Mebunai Mhushathi;

    28Salmoni Mwahohi;Maharai Mnetofathi;

    38Ira Mwithiri;Garebu Mwithiri;

  4. Cânticos 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–16 de 17

    1Wimbo ulio bora wa Sulemani.Mpendwa1:2 Kulingana na matumizi ya lugha ya Kiebrania, mnenaji wa kiume na wa kike wametofautishwa kwa kichwa cha Mpenzi na Mpendwa. Wanenaji wengine wamepewa kichwa cha Rafiki. Wakati mwingine haijulikani kwa hakika nani ananena, lakini mapokeo yamefuatwa kutambulisha wanenaji.

    11Tutakufanyia vipuli vya dhahabu,vyenye kupambwa kwa fedha.Mpendwa

    16Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!Ee, tazama jinsi unavyopendeza!Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.Mpenzi

  5. Provérbios 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 17–31 de 33

    17Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya;yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.

    18Kiburi hutangulia maangamizi,roho ya majivuno hutangulia maanguko.

    31Mvi ni taji la utukufu;hupatikana kwa maisha ya uadilifu.

  6. 1 Coríntios 15

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 2–36 de 58

    2Kwa Injili hii mnaokolewa mkishikilia kwa uthabiti neno nililowahubiria ninyi. La sivyo, mmeamini katika ubatili.

    26Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni mauti.

    36Ninyi wapumbavu kiasi gani? Mpandacho hakiwi hai kama hakikufa.

  7. Jeremias 39

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 39
    Mostrando versículos 12–18 de 18

    12"Mchukue umtunze. Usimdhuru, lakini umfanyie chochote anachotaka."

    17Lakini siku hiyo nitakuokoa, asema Mwenyezi Mungu; hutatiwa mikononi mwa wale unaowaogopa.

    18Nitakuokoa; hutaanguka kwa upanga, maisha yako yatakuwa salama, kwa sababu unanitumaini, asema Mwenyezi Mungu.’ "

  8. Esdras 10

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 37–42 de 44

    37Matania, Matenai na Yaasu.

    40Maknadebai, Shashai, Sharai,

    42Shalumu, Amaria na Yusufu.

  9. Ezequiel 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 9–53 de 63

    9" ‘Nilikuogesha kwa maji, nikakuosha ile damu na kukupaka mafuta.

    35" ‘Kwa hiyo, wewe kahaba, sikia neno la Mwenyezi Mungu!

    53" ‘Lakini nitarudisha baraka za Sodoma na binti zake na za Samaria na binti zake, nami nitarudisha baraka zako pamoja na zao,

  10. 1 Coríntios 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 14–23 de 24

    14Fanyeni kila kitu katika upendo.

    20Ndugu wote walio hapa wanawasalimu. Salimianeni kwa busu takatifu.

    23Neema ya Bwana Isa iwe nanyi.

  11. Números 31

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 31
    Mostrando versículos 22–45 de 54

    22Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,

    34punda elfu sitini na moja,

    45punda elfu thelathini na mia tano,

  12. Obadias 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 6–21 de 21

    6Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!

    17Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwa na wale watakaookoka;nao utakuwa mtakatifu,nayo nyumba ya Yakoboitamiliki urithi wake.

    21Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayunikutawala milima ya Esau.Nao ufalme utakuwa wa Mwenyezi Mungu.

  13. Êxodo 21

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 21
    Mostrando versículos 23–25 de 36

    23Lakini kukiwa na jeraha kubwa, ni lazima ulipe uhai kwa uhai,

    24jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,

    25kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, mchubuko kwa mchubuko.

  14. Atos 22

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 1–16 de 30

    1"Ndugu zangu na baba zangu, sikilizeni utetezi wangu."

    7Nikaanguka chini, nikasikia sauti ikiniambia, ‘Sauli! Sauli! Mbona unanitesa?’

    16Sasa basi, mbona unakawia? Inuka, ukabatizwe na dhambi zako zikasafishwe, ukiliita Jina lake.’

  15. Filipenses 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 5–23 de 23

    5Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana Isa yu karibu.

    21Msalimuni kila mtakatifu katika Al-Masihi Isa.Ndugu walio pamoja nami wanawasalimu.

    23Neema ya Bwana wetu Isa Al-Masihi iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  16. 1 Crônicas 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 28–35 de 43

    28Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,

    29Bilha, Esemu, Toladi,

    35Yoeli,Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.

  17. Jó 15

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 3–22 de 35

    3Je, aweza kubishana kwa maneno yasiyofaa,kwa hotuba zisizo na maana?

    16sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu,ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!

    22Hukata tamaa kuokoka gizani;amewekwa kwa ajili ya upanga.

  18. Isaías 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 19–23 de 26

    19vipuli, vikuku, shela,

    21pete zenye muhuri, pete za puani,

    23vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.

  19. Jó 33

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 33
    Mostrando versículos 9–18 de 33

    9‘Mimi ni safi na sina dhambi;mimi ni safi na sina hatia.

    17ili kumgeuza mtu kutoka kutenda mabayana kumwepusha na kiburi,

    18kuiokoa nafsi yake na shimo,uhai wake usiangamizwe kwa upanga.

  20. Mateus 27

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 40–52 de 66

    40na kusema, "Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu, jiokoe mwenyewe basi! Kama wewe ni Mwana wa Mungu27:40 Yaani Mwana wa asili moja na Mwenyezi Mungu (Yohana 1:1-2), wa kiroho, bali si wa kimwili., shuka msalabani."

    42"Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! Yeye ni mfalme wa Israeli! Ashuke sasa msalabani, nasi tutamwamini.

    52Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu waliokuwa wamekufa ikafufuliwa.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo