7Ee Mwenyezi Mungu, umenidanganya,nami nikadanganyika;wewe una nguvu kuliko mimi,nawe umenishinda.Ninadharauliwa mchana kutwa,kila mmoja ananidhihaki.
13Mwimbieni Mwenyezi Mungu!Mpeni Mwenyezi Mungu sifa!Yeye huokoa uhai wa mhitajikutoka mikononi mwa waovu.
14Ilaaniwe siku niliyozaliwa!Nayo isibarikiwe ile sikumama yangu aliyonizaa!