Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "salvação"

61 resultados encontrados

  1. 2 Coríntios 13

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 4–13 de 14

    4Kwa kuwa alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Vivyo hivyo, sisi tu dhaifu kupitia kwake, lakini katika kuwashughulikia ninyi tutaishi pamoja naye kwa nguvu za Mungu.

    12Salimianeni kwa busu takatifu.

    13Watakatifu wote wanawasalimu.

  2. Atos 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 21–47 de 47

    21Na kila mtu atakayeliitiajina la Mwenyezi Mungu, ataokolewa.’

    28Umenionesha njia za uzima,utanijaza na furaha mbele zako.’

    47wakimsifu Mungu na kuwapendeza watu wote. Kila siku Bwana akaliongeza kundi la waumini wa Isa wale waliokuwa wakiokolewa.

  3. Provérbios 23

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 13–27 de 35

    13Usimnyime mtoto adhabu,ukimwadhibu kwa fimbo, hatakufa.

    14Mwadhibu kwa fimbona kuiokoa nafsi yake kutoka mautini23:14 mautini maana yake ni Kuzimu.

    27kwa maana kahaba ni shimo refuna mwanamke mpotovu ni kisima chembamba.

  4. Salmos 80

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 80
    Mostrando versículos 2–7 de 19

    2mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.Uamshe nguvu zako,uje utuokoe.

    3Ee Mungu, uturejeshe,utuangazie uso wako,ili tuweze kuokolewa.

    7Ee Mungu wa majeshi ya mbinguni, uturejeshe;utuangazie uso wako,nasi tuweze kuokolewa.

  5. Romanos 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 16–27 de 27

    16Salimianeni kwa busu takatifu.Makundi yote ya waumini ya Al-Masihi wanawasalimu.

    20Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.Neema ya Bwana wetu Isa iwe nanyi. Amen.

    27ndiye Mungu, aliye pekee mwenye hekima, ambaye kupitia kwa Isa Al-Masihi utukufu ni wake milele na milele! Amen.

  6. Lamentações 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 10–35 de 66

    10Kama dubu aviziaye,kama simba mafichoni,

    26ni vyema kungojea kwa utulivukwa ajili ya wokovu wa Mwenyezi Mungu.

    35Kumnyima mtu haki zakembele za Aliye Juu Sana,

  7. Salmos 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–8 de 8

    1Ee Mwenyezi Mungu, tazama adui zangu walivyo wengi!Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!

    7Ee Mwenyezi Mungu, amka!Niokoe, Ee Mungu wangu!Wapige adui zangu wote kwenye taya,vunja meno ya waovu.

    8Kwa maana wokovu watoka kwa Mwenyezi Mungu.Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

  8. Deuteronômio 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 17–19 de 33

    17Usiue.

    18Usizini.

    19Usiibe.

  9. Neemias 10

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 2–25 de 39

    2Seraya, Azaria, Yeremia,

    13Hodia, Bani na Beninu.

    25Rehumu, Hashabna, Maaseya,

  10. 2 Pedro 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–18 de 18

    1Wapendwa, huu ndio waraka wangu wa pili ninaowaandikia. Katika nyaraka hizi mbili ninajaribu kuziamsha nia zenu safi kwa mawazo makamilifu.

    12mkingojea na kuhimiza kuja kwa hiyo siku ya Mungu. Siku hiyo italeta mbingu kuchomwa moto na kutoweka, na vitu vya asili vitayeyuka kwa moto.

    18Bali kueni katika neema na katika kumjua Bwana na Mwokozi wetu Isa Al-Masihi.Utukufu una yeye sasa na milele! Amen.

  11. Josué 19

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 20–37 de 51

    20Rabithi, Kishioni, Ebesi,

    21Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.

    37Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,

  12. Filipenses 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 11–20 de 21

    11ili kwa njia yoyote niweze kufikia ufufuo wa wafu.

    16Lakini na tushike sana lile ambalo tumekwisha kulifikia.

    20Lakini uenyeji wetu uko mbinguni. Nasi tunamngoja kwa shauku Mwokozi kutoka huko, yaani Bwana Isa Al-Masihi,

  13. Hebreus 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 3–11 de 18

    3je, sisi tutapataje kupona kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa na Bwana Isa, ulithibitishwa kwetu na wale waliomsikia.

    7Umemfanya chini kidogo kuliko malaika;ukamvika taji la utukufu na heshima,

    11Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Isa haoni aibu kuwaita ndugu zake.

  14. Judas 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–25 de 25

    1Yuda, mtumwa wa Isa Al-Masihi, na nduguye Yakobo.Kwa wale walioitwa, waliopendwa katika Mungu Baba1:1 Kwa mwanadamu, Mwenyezi Mungu ni Baba kupitia uhusiano unaopatikana katika kumtumaini Isa Al-Masihi. Mwenyezi na kuhifadhiwa salama ndani ya Isa Al-Masihi.

    22Wahurumieni walio na mashaka;

    25kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Isa Al-Masihi Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen.

  15. Gálatas 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–27 de 29

    1Ninyi Wagalatia wajinga! Ni nani aliyewaroga? Isa Al-Masihi aliwekwa wazi mbele yenu kwamba amesulubiwa.

    3Je, ninyi ni wajinga kiasi hicho? Baada ya kuanza kwa Roho, je, sasa mwataka kumalizia katika mwili?

    27Kwa maana wote mliobatizwa3:27 Ubatizo ni ishara ya kuungama dhambi na kusamehewa na Mwenyezi Mungu, na kuweka nadhiri ya kubadilisha mienendo ya awali. Wafuasi wa Isa Al-Masihi pia wanapokea Roho wa Mungu kama dhibitisho ya imani yao. ndani ya Al-Masihi, mmemvaa Al-Masihi.

  16. 2 Timóteo 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 9–22 de 22

    9Jitahidi kuja kwangu upesi

    18Bwana Isa ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe milele na milele. Amen.

    22Bwana Isa awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi.

  17. Josué 18

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículos 23–27 de 28

    23Avimu, Para na Ofra,

    26Mispa, Kefira, Moza,

    27Rekemu, Irpeeli, Tarala,

  18. Êxodo 20

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 20
    Mostrando versículos 13–15 de 26

    13Usiue.

    14Usizini.

    15Usiibe.

  19. 1 Pedro 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 11–14 de 14

    11Uweza una yeye milele na milele. Amen.

    13Kundi la waumini lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.

    14Salimianeni kwa busu la upendo.Amani iwe nanyi nyote mlio katika Al-Masihi.

  20. Tito 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 4–6 de 15

    4Lakini wema na upendo wa Mungu Mwokozi wetu ulipofunuliwa,

    5alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kupitia kwa Roho Mtakatifu wa Mungu,

    6ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kupitia kwa Isa Al-Masihi Mwokozi wetu,

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo