Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "salvação"

28 resultados encontrados

  1. 1 João 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 4–21 de 21

    4Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani hiyo imani yetu.

    5Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Isa ni Mwana wa Mungu5:5 Yaani Mwana wa asili moja na Mwenyezi Mungu (Yohana 1:1-2), wa kiroho, bali si wa kimwili..

    21Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.

  2. 2 Coríntios 13

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 4–13 de 14

    4Kwa kuwa alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Vivyo hivyo, sisi tu dhaifu kupitia kwake, lakini katika kuwashughulikia ninyi tutaishi pamoja naye kwa nguvu za Mungu.

    12Salimianeni kwa busu takatifu.

    13Watakatifu wote wanawasalimu.

  3. 1 Coríntios 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 14–24 de 24

    14Fanyeni kila kitu katika upendo.

    20Ndugu wote walio hapa wanawasalimu. Salimianeni kwa busu takatifu.

    24Upendo wangu uwe nanyi nyote katika Al-Masihi Isa. Amen.

  4. Atos 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 21–47 de 47

    21Na kila mtu atakayeliitiajina la Mwenyezi Mungu, ataokolewa.’

    28Umenionesha njia za uzima,utanijaza na furaha mbele zako.’

    47wakimsifu Mungu na kuwapendeza watu wote. Kila siku Bwana akaliongeza kundi la waumini wa Isa wale waliokuwa wakiokolewa.

  5. Josué 19

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 20–37 de 51

    20Rabithi, Kishioni, Ebesi,

    21Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.

    37Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,

  6. Atos 22

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 7–21 de 30

    7Nikaanguka chini, nikasikia sauti ikiniambia, ‘Sauli! Sauli! Mbona unanitesa?’

    16Sasa basi, mbona unakawia? Inuka, ukabatizwe na dhambi zako zikasafishwe, ukiliita Jina lake.’

    21"Ndipo Bwana Isa akaniambia, ‘Nenda, kwa maana nitakutuma mbali, kwa watu wa Mataifa.’ "

  7. Salmos 150

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 150
    Mostrando versículos 1–5 de 6

    1Msifuni Mwenyezi Mungu.150:1 kwa Kiebrania ni Hallelu Yah; pia 150:6.Msifuni Mungu katika patakatifu pake,msifuni katika mbingu zake kuu.

    3Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,msifuni kwa kinubi na zeze,

    5msifuni kwa matoazi yaliayo,msifuni kwa matoazi yavumayo sana.

  8. Deuteronômio 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 17–19 de 33

    17Usiue.

    18Usizini.

    19Usiibe.

  9. 2 Timóteo 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 9–22 de 22

    9Jitahidi kuja kwangu upesi

    18Bwana Isa ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe milele na milele. Amen.

    22Bwana Isa awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi.

  10. Salmos 33

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 33
    Mostrando versículos 17–21 de 22

    17Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.

    19ili awaokoe na mauti,na kuwahifadhi wakati wa njaa.

    21Mioyo yetu humshangilia,kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.

  11. Êxodo 20

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 20
    Mostrando versículos 8–15 de 26

    8Ikumbuke siku ya Sabato, uitakase.

    13Usiue.

    15Usiibe.

  12. Lucas 21

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 21
    Mostrando versículos 17–36 de 38

    17Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina langu.

    19Kwa kuvumilia mtaokoa roho zenu.

    36Kesheni daima na mwombe ili mweze kuokoka na yale yote yatakayotokea na kusimama mbele ya Mwana wa Adamu."

  13. Romanos 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 16–27 de 27

    16Salimianeni kwa busu takatifu.Makundi yote ya waumini ya Al-Masihi wanawasalimu.

    20Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.Neema ya Bwana wetu Isa iwe nanyi. Amen.

    27ndiye Mungu, aliye pekee mwenye hekima, ambaye kupitia kwa Isa Al-Masihi utukufu ni wake milele na milele! Amen.

  14. 1 Pedro 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 6–14 de 14

    6Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake.

    11Uweza una yeye milele na milele. Amen.

    14Salimianeni kwa busu la upendo.Amani iwe nanyi nyote mlio katika Al-Masihi.

  15. Cânticos 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–11 de 17

    1Wimbo ulio bora wa Sulemani.Mpendwa1:2 Kulingana na matumizi ya lugha ya Kiebrania, mnenaji wa kiume na wa kike wametofautishwa kwa kichwa cha Mpenzi na Mpendwa. Wanenaji wengine wamepewa kichwa cha Rafiki. Wakati mwingine haijulikani kwa hakika nani ananena, lakini mapokeo yamefuatwa kutambulisha wanenaji.

    10Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli,shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.

    11Tutakufanyia vipuli vya dhahabu,vyenye kupambwa kwa fedha.Mpendwa

  16. Esdras 10

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 37–42 de 44

    37Matania, Matenai na Yaasu.

    40Maknadebai, Shashai, Sharai,

    42Shalumu, Amaria na Yusufu.

  17. Provérbios 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 17–31 de 33

    17Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya;yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.

    18Kiburi hutangulia maangamizi,roho ya majivuno hutangulia maanguko.

    31Mvi ni taji la utukufu;hupatikana kwa maisha ya uadilifu.

  18. Neemias 10

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 2–25 de 39

    2Seraya, Azaria, Yeremia,

    24Haloheshi, Pilha, Shobeki,

    25Rehumu, Hashabna, Maaseya,

  19. Lamentações 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 26–38 de 66

    26ni vyema kungojea kwa utulivukwa ajili ya wokovu wa Mwenyezi Mungu.

    35Kumnyima mtu haki zakembele za Aliye Juu Sana,

    38Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sanandiko yatokako maafa na mambo mema?

  20. Provérbios 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 7–12 de 22

    7Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,

    11Busara itakuhifadhina ufahamu utakulinda.

    12Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo