3Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Mwenyezi Mungu.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.
Resultados da busca por "fé"
116 resultados encontrados
- Capítulo 13
Zacarias 13
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 3 de 9 - Capítulo 2
João 2
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 14 de 2514Huko uani la Hekalu aliwakuta watu wakiuza ng’ombe, kondoo na njiwa, nao wengine walikuwa wameketi mezani wakibadili fedha.
- Capítulo 38
Êxodo 38
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 10 de 3110pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
- Capítulo 17
Gênesis 17
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 12 de 2712Kwa vizazi vijavyo, kila mwanaume miongoni mwenu mwenye siku nane ni lazima atahiriwe, pamoja na watakaozaliwa nyumbani mwako au walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, wale ambao sio wa uzao wako.
- Capítulo 8
Oséias 8
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 4 de 144Wanaweka wafalme bila idhini yangu,wamechagua wakuu bila kibali changu.Kwa fedha zao na dhahabuwamejitengenezea sanamu kwa ajiliya maangamizi yao wenyewe.
- Capítulo 28
Jó 28
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 1 de 281Kuna machimbo ya fedha,na mahali dhahabu inaposafishwa.
- Capítulo 19
Lucas 19
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 10 de 4810Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea."
- Capítulo 3
Miquéias 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 7 de 127Waonaji wataaibikana waaguzi watafedheheka.Wote watafunika nyuso zaokwa sababu hakuna jibu litokalo kwa Mungu."
- Capítulo 26
Atos 26
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 24 de 3224Paulo alipokuwa akifanya utetezi huu, Festo akasema kwa sauti kubwa, "Paulo, wewe umerukwa na akili! Kusoma kwingi kunakufanya uwe kichaa!"
- Capítulo 3
Malaquias 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 182Lakini ni nani atakayeweza kustahimili hiyo siku ya kuja kwake? Ni nani awezaye kusimama atakapotokea? Kwa kuwa atakuwa kama moto wa mfua fedha au kama sabuni ya mfua nguo.
- Capítulo 5
1 Pedro 5
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 142lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika.
- Capítulo 16
1 Coríntios 16
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 242Siku ya kwanza ya kila juma, kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha, kulingana na mapato yake, na fedha hizo aziweke akiba, ili nitakapokuja pasiwe na lazima ya kufanya mchango.
- Capítulo 5
Neemias 5
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 4 de 194Bado kukawa na wengine waliokuwa wakisema, "Ilitubidi tukope fedha ili kulipa kodi ya mfalme kwa ajili ya mashamba yetu na mashamba yetu ya mizabibu.
- Capítulo 50
Isaías 50
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 6 de 116Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao,mashavu yangu wale wang’oao ndevu zangu;sikuuficha uso wangu kutokana na fedhehana kutemewa mate.
- Capítulo 2
Naum 2
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 9 de 139Chukueni nyara za fedha!Chukueni nyara za dhahabu!Wingi wake hauna mwisho,utajiri kutoka hazina zake zote!
- Capítulo 71
Salmos 71
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 13 de 2413Washtaki wangu na waangamie kwa aibu,wale wanaotaka kunidhuruna wafunikwe kwa dharau na fedheha.
- Capítulo 12
Eclesiastes 12
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 6 de 146Mkumbuke Muumba wako: kabla haijakatika kamba ya fedha,au bakuli la dhahabu halijavunjika;kabla mtungi kuvunjika kwenye chemchemi,au gurudumu kuvunjika kisimani,
- Capítulo 14
Deuteronômio 14
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 25 de 2925basi badilisheni zaka yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha mwende nayo mahali Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, atakapopachagua.
- Capítulo 8
2 Samuel 8
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 10 de 1810akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.
- Capítulo 7
2 Reis 7
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 1 de 201Al-Yasa akasema, "Sikiliza neno la Mwenyezi Mungu. Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu: Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja7:1 Kipimo kimoja cha unga ni sawa na kilo 3. cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha7:1 Shekeli moja ni sawa na gramu 11., na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria."