Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

138 resultados encontrados

  1. Jeremias 23

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 9–35 de 40

    9Kuhusu manabii:Moyo wangu umevunjika ndani yangu;mifupa yangu yote inatetemeka.Nimekuwa kama mtu aliyelewa,kama mtu aliyelemewa na divai,kwa sababu ya Mwenyezi Munguna maneno yake matakatifu.

    34Nabii, kuhani, au mtu yeyote akisema, ‘Huu ndio ujumbe wa Mwenyezi Mungu,’ nitamwadhibu huyo na nyumba yake.

    35Mnaambiana kila mmoja na mwenzake, au kwa mtu wa nyumba yao: ‘Mwenyezi Mungu amejibu nini?’ au ‘Mwenyezi Mungu amesema nini?’

  2. Juízes 17

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 1–4 de 13

    1Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika kutoka nchi ya vilima ya Efraimu.

    3Alipozirudisha zile shekeli elfu moja na mia moja za fedha kwa mama yake, mama yake akamwambia, "Mimi nimeiweka fedha hii wakfu kwa Mwenyezi Mungu ili mwanangu atengeneze sanamu ya kuchonga, na sanamu ya kusubu. Mimi nitakurudishia wewe."

    4Hivyo akamrudishia mama yake ile fedha, naye mama yake akachukua shekeli mia mbili17:4 Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3 za fedha. za hiyo fedha na kumpa mfua fedha, ambaye aliifanyiza kinyago na sanamu. Navyo vikawekwa ndani ya nyumba ya Mika.

  3. Esdras 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–10 de 11

    1Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Mwenyezi Mungu lililosemwa na nabii Yeremia, Mwenyezi Mungu aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:

    2"Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi:" ‘Mwenyezi Mungu, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda.

    10mabakuli ya dhahabu yalikuwa thelathini;mabakuli ya fedha yaliyofanana yalikuwa mia nne na kumi;vifaa vingine vilikuwa elfu moja.

  4. 2 Reis 12

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 11–14 de 21

    11Walipothibitisha kiasi cha hizo fedha, waliwapa watu walioteuliwa kusimamia kazi katika Hekalu. Kwa fedha hizo, wakawalipa wale watu waliofanya kazi katika Hekalu la Mwenyezi Mungu: maseremala na wajenzi,

    12waashi na wakata mawe. Walinunua mbao na mawe ya kuchongwa kwa ajili ya ukarabati wa Hekalu la Mwenyezi Mungu, na kulipia gharama nyingine zote za kulitengeneza.

    14zililipwa kwa wafanyakazi, ambao walizitumia kwa kukarabati Hekalu.

  5. Salmos 23

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 1–5 de 6

    1Mwenyezi Mungu ndiye mchungaji wangu,sitapungukiwa na kitu.

    3hunihuisha nafsi yangu.Huniongoza katika njia za hakikwa ajili ya jina lake.

    5Waandaa meza mbele yangumachoni pa adui zangu.Umenipaka mafuta kichwani pangu,kikombe changu kinafurika.

  6. Oséias 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–5 de 5

    1Mwenyezi Mungu akaniambia, "Nenda, ukaoneshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama Mwenyezi Mungu apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu."

    5Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Mwenyezi Mungu, Mungu wao, na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa Mwenyezi Mungu na kwa baraka zake katika siku za mwisho.

  7. Gênesis 23

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 6–14 de 20

    6"Bwana, tusikilize. Wewe ni mtawala mkuu sana miongoni mwetu. Zika maiti wako katika kaburi unalolipenda kati ya makaburi yetu. Hakuna mtu wa kwetu atakayekuzuia kaburi lake ili kuzika maiti wako."

    10Efroni Mhiti alikuwa ameketi miongoni mwa watu wake; akamjibu Ibrahimu mbele ya Wahiti wote waliokuwa katika lango la mji:

    14Efroni akamjibu Ibrahimu,

  8. Jó 27

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 10–20 de 23

    10Je, anaweza kumfurahia Mwenyezi?Je, atamwita Mungu nyakati zote?

    16Ajapokusanya fedha nyingi kama mavumbi,na mavazi kama malundo ya udongo wa mfinyanzi,

    20Vitisho humjia kama mafuriko;dhoruba humkumba ghafula usiku.

  9. Cânticos 8

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 6–13 de 14

    6Nitie kama muhuri moyoni mwako,kama muhuri kwenye mkono wako;kwa maana upendo una nguvu kama mauti,wivu wake ni mkatili kama Kuzimu8:6 Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, yaani Shimo lisilo na mwisho..Unachoma kama mwali wa moto,kama mwali mkubwa wa moto wa Mwenyezi Mungu hasa.

    9Kama yeye ni ukuta,tutajenga minara ya fedha juu yake.Na kama yeye ni mlango,tutamzungushia mbao za mwerezi.Mpendwa

    13Wewe ukaaye bustaninipamoja na rafiki mliohudhuria,hebu nisikie sauti yako!Mpendwa

  10. Cânticos 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 3–6 de 11

    3Walinzi walinikutawalipokuwa wakizunguka mji.Nikawauliza, "Je, mmemwonayule moyo wangu umpendaye?"

    4Kitambo kidogo tu baada ya kuwapitanilimpata yule moyo wangu umpendaye.Nilimshika na sikumwachia aendehadi nilipomleta katika nyumba ya mama yangu,katika chumba cha yule aliyenichukua mimba.

    6Ni nani huyu anayekuja kutoka jangwanikama nguzo ya moshi,anayenukia manemane na uvumbailiyotengenezwa kwa vikolezo vyotevya mfanyabiashara?

  11. 2 Crônicas 27

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 2–6 de 9

    2Akafanya yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu kama Uzia baba yake alivyokuwa amefanya, lakini tofauti na yeye, hakuingilia huduma za hekaluni mwa Mwenyezi Mungu. Lakini hata hivyo, watu wakaendelea na desturi zao mbaya.

    3Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la Mwenyezi Mungu na kufanya kazi kubwa kwenye ukuta katika kilima cha Ofeli.

    6Yothamu akaendelea kuwa na nguvu kwa sababu alienenda kwa ukamilifu mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wake.

  12. Mateus 28

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 3–20 de 20

    3Sura ya huyo malaika ilikuwa kama umeme, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

    18Isa akawajia na kusema, "Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

    20nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika mimi niko pamoja nanyi siku zote, hadi mwisho wa nyakati."

  13. Amós 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 1–11 de 16

    1Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu:"Kwa dhambi tatu za Moabu,hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu,ikawa kama chokaa.

    8Watu hulala kando ya kila madhabahujuu ya nguo zilizowekwa rehani.Katika nyumba ya mungu wao hunywa mvinyoulionunuliwa kwa fedha walizotozwa watu.

    11"Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenuna Wanadhiri kutoka miongoni mwa vijana wenu.Je, hii si kweli, enyi watu wa Israeli?"asema Mwenyezi Mungu.

  14. Zacarias 6

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 2–12 de 15

    2Gari la kwanza lilivutwa na farasi wekundu, la pili lilivutwa na farasi weusi,

    9Neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

    12Umwambie hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: ‘Huyu ndiye mtu anayeitwa Tawi, naye atachipua kutoka mahali pake na kujenga Hekalu la Mwenyezi Mungu.

  15. Zacarias 13

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 3–7 de 9

    3Ikiwa yupo yeyote atakayeendelea kutabiri, baba yake na mama yake waliomzaa watamwambia, ‘Ni lazima ufe, kwa sababu umesema uongo kwa jina la Mwenyezi Mungu.’ Atakapotabiri, wazazi wake mwenyewe watampasua tumbo.

    6Ikiwa mtu atamuuliza, ‘Majeraha haya yaliyo mwilini mwako ni ya nini?’ Atajibu, ‘Ni majeraha niliyoyapata katika nyumba ya rafiki zangu.’

    7"Amka, ee upanga, dhidi ya mchungaji wangu,dhidi ya mtu aliye karibu nami!"asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni."Mpige mchungaji,nao kondoo watatawanyika,nami nitageuza mkono wangudhidi ya walio wadogo,

  16. João 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 2–22 de 25

    2Isa pamoja na wanafunzi wake walikuwa wamealikwa arusini pia.

    21Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.

    22Baada ya kufufuliwa kutoka kwa wafu, wanafunzi wake wakakumbuka yale aliyokuwa amesema. Ndipo wakayaamini Maandiko na yale maneno Isa alikuwa ameyasema.

  17. Êxodo 38

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 38
    Mostrando versículos 19–30 de 31

    19likiwa na nguzo nne na vitako vinne vya shaba. Kulabu zake na tepe zake zilikuwa za fedha, na ncha zake zilikuwa zimefunikwa kwa fedha.

    20Vigingi vyote vya maskani ya Mungu na vya ua ulioizunguka vilikuwa vya shaba.

    30Akaitumia hiyo shaba kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule wavu wake na vyombo vyake vyote,

  18. Ezequiel 46

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 46
    Mostrando versículos 5–11 de 24

    5Sadaka ya nafaka inayotolewa pamoja na huyo kondoo dume itakuwa efa moja, na sadaka ya nafaka inayotolewa na hao wana-kondoo itakuwa kiasi apendacho mtu pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.

    7Atatoa sadaka ya nafaka ya: efa moja kwa huyo fahali, na efa moja kwa huyo kondoo dume; na kwa wana-kondoo atatoa nafaka nyingi kama atakavyo kutoa; atatoa hini ya mafuta kwa kila efa.

    11" ‘Kwenye sikukuu na kwenye sikukuu zilizoamriwa, sadaka ya nafaka itakuwa efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja pamoja na kondoo dume mmoja, pamoja na idadi ya wana-kondoo kama mtu apendavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.

  19. Oséias 8

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 2–6 de 14

    2Israeli ananililia,‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’

    5Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama!Hasira yangu inawaka dhidi yao.Watakuwa najisi hadi lini?

    6Zimetoka katika Israeli!Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu.Atavunjwa vipande vipande,yule ndama wa Samaria.

  20. 1 Crônicas 28

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 3–16 de 21

    3Lakini Mungu akaniambia, ‘Wewe hutajenga nyumba kwa Jina langu, kwa sababu wewe umekuwa mtu wa vita na umemwaga damu.’

    10Angalia basi, kwa maana Mwenyezi Mungu amekuchagua wewe ili ujenge Hekalu kuwa mahali patakatifu. Uwe hodari ukafanye kazi hiyo."

    16uzito wa dhahabu kwa ajili ya meza ya mikate iliyowekwa wakfu, uzito wa fedha kwa ajili ya meza ya fedha;

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo