Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

138 resultados encontrados

  1. 1 Timóteo 6

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 11–21 de 21

    11Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole.

    16yeye pekee aishiye milele, anayedumu katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen.

    21ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo wameiacha imani.Neema iwe nanyi. Amen.

  2. Filipenses 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 5–23 de 23

    5Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana Isa yu karibu.

    20Mungu wetu aliye Baba4:20 Kwa mwanadamu, Mwenyezi Mungu ni Baba kupitia uhusiano unaopatikana katika kumtumaini Isa Al-Masihi. yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.

    23Neema ya Bwana wetu Isa Al-Masihi iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  3. Marcos 12

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 11–30 de 44

    11Mwenyezi Mungu ndiye alitenda jambo hili,nalo ni la kushangaza machoni petu’?"

    27Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea kabisa."

    30Mpende Mwenyezi Mungu, Mungu wako, kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.’

  4. Êxodo 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 11–36 de 36

    11Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

    16Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu ameamuru: ‘Kila mmoja akusanye kiasi anachohitaji. Chukueni pishi16:16 yaani omeri moja, sawa na kilo mbili moja kwa kila mtu mliye naye katika hema lenu.’ "

    36(Pishi moja ni sehemu ya kumi ya kipimo cha efa16:36 Efa moja ni sawa na kilo 22..)

  5. Efésios 6

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 7–24 de 24

    7Tumikeni kwa moyo wote, kama vile mngemtumikia, wala si wanadamu,

    20ambayo mimi ni balozi wake katika vifungo. Ombeni ili nipate kuhubiri kwa ujasiri kama inipasavyo.

    24Neema iwe na wote wanaompenda Bwana wetu Isa Al-Masihi kwa upendo wa dhati. Amen.

  6. 1 Pedro 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 11–14 de 14

    11Uweza una yeye milele na milele. Amen.

    13Kundi la waumini lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.

    14Salimianeni kwa busu la upendo.Amani iwe nanyi nyote mlio katika Al-Masihi.

  7. Romanos 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 1–27 de 27

    1Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mhudumu katika kundi la waumini la Kenkrea.

    20Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.Neema ya Bwana wetu Isa iwe nanyi. Amen.

    27ndiye Mungu, aliye pekee mwenye hekima, ambaye kupitia kwa Isa Al-Masihi utukufu ni wake milele na milele! Amen.

  8. Efésios 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 12–21 de 21

    12Ndani yake na kupitia kwa imani katika yeye twaweza kumkaribia Mungu kwa uhuru na kwa ujasiri.

    17ili Al-Masihi apate kukaa mioyoni mwenu kupitia kwa imani. Nami ninaomba kwamba mkiwa wenye mizizi tena imara katika msingi wa upendo,

    21yeye atukuzwe katika jumuiya ya waumini, na katika Al-Masihi Isa kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen.

  9. Tito 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 5–15 de 15

    5alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kupitia kwa Roho Mtakatifu wa Mungu,

    8Hili ni neno la kuaminiwa. Nami nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote. Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa kila mtu.

    15Wote walio pamoja nami wanakusalimu.Wasalimu wale wanaotupenda katika imani.Neema iwe nanyi nyote. Amen.

  10. Filemom 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 2–25 de 25

    2kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kundi la waumini wanaokutana nyumbani mwako.

    9lakini ninakuomba kwa upendo. Mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Al-Masihi Isa,

    25Neema ya Bwana Isa Al-Masihi iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  11. 1 Tessalonicenses 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 17–28 de 28

    17ombeni bila kukoma;

    23Mungu mwenyewe, Mungu wa amani, awatakase ninyi kabisa. Nanyi mhifadhiwe roho zenu, nafsi zenu na miili yenu, bila kuwa na lawama katika Bwana wetu Isa Al-Masihi.

    28Neema ya Bwana wetu Isa Al-Masihi iwe nanyi. Amen.

  12. 2 Tessalonicenses 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 5–18 de 18

    5Mwenyezi Mungu aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Al-Masihi.

    16Basi, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani nyakati zote na kwa kila njia. Mwenyezi Mungu awe nanyi nyote.

    18Neema ya Bwana wetu Isa Al-Masihi iwe nanyi nyote. Amen.

  13. Romanos 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 2–5 de 21

    2ambaye kupitia kwake tumepata kuifikia neema hii kupitia kwa imani, neema ambayo tunasimama ndani yake sasa. Nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu.

    4nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,

    5wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kupitia kwa Roho wa Mungu ambaye ametupatia.

  14. Salmos 37

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 37
    Mostrando versículos 3–5 de 40

    3Mtumaini Mwenyezi Mungu na utende yaliyo mema.Kaa katika nchi ukafurahie malisho salama.

    4Jifurahishe katika Mwenyezi Mungunaye atakupa haja za moyo wako.

    5Mkabidhi Mwenyezi Mungu njia yako,mtumaini yeye, naye atatenda hili:

  15. 1 Crônicas 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 11–29 de 43

    11Mtafuteni Mwenyezi Mungu na nguvu zake;utafuteni uso wake siku zote.

    28Mpeni Mwenyezi Mungu, enyi jamaa za mataifa,mpeni Mwenyezi Mungu utukufu na nguvu,

    29mpeni Mwenyezi Mungu utukufu unaostahili jina lake.Leteni sadaka na mje katika nyua zake.Mwabuduni Mwenyezi Mungu katika uzuri wa utakatifu wake.

  16. Gálatas 6

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 7–18 de 18

    7Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.

    10Kwa hiyo, kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema, hasa wale wa jamaa ya waumini.

    18Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu Isa Al-Masihi iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  17. Salmos 56

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 56
    Mostrando versículos 4–11 de 13

    4Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.Mwanadamu mwenye kufaatanitenda nini?

    10Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,katika Mwenyezi Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,

    11katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.Mwanadamu anaweza kunitenda nini?

  18. Ezequiel 45

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 45
    Mostrando versículos 10–13 de 25

    10Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa45:10 Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu ambacho ni sawa na omeri 10; efa 1 ni sawa na kilo 22. na bathi45:10 Bathi ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vya humiminika ambacho ni sawa na 1/10 ya homeri; homeri 1 ni bathi 10 au efa 10..

    11Efa na bathi viwe sawa, bathi iwe sehemu ya kumi ya homeri na efa iwe sehemu ya kumi ya homeri, homeri itakuwa ndicho kiwango cha kukubalika kwa vyote viwili.

    13" ‘Hili ndilo toleo maalum mtakalotoa: sehemu ya sita ya efa kutoka kila homeri ya ngano, na sehemu ya sita ya efa kutoka kila homeri ya shayiri.

  19. 2 Timóteo 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 12–22 de 22

    12Nimemtuma Tikiko huko Efeso.

    18Bwana Isa ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe milele na milele. Amen.

    22Bwana Isa awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi.

  20. Gênesis 27

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 7–29 de 46

    7‘Niletee mawindo, kisha ukaniandalie chakula kitamu nile, ili nikubariki mbele za Mwenyezi Mungu kabla sijafa.’

    8Sasa mwanangu, nisikilize kwa makini na ufanye yale ninayokuambia:

    29Mataifa yakutumikie,na mataifa yakusujudie.Uwe bwana juu ya ndugu zako,na wana wa mama yako wakusujudie.Walaaniwe wale wanaokulaani,na wabarikiwe wale wanaokubariki."

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo