12Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia;
Resultados da busca por "paz"
46 resultados encontrados
- Capítulo 35
Êxodo 35
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 12 de 35 - Capítulo 49
Isaías 49
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 13 de 2613Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;furahi, ee dunia;pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima!Kwa maana Mwenyezi Mungu anawafariji watu wake,naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.
- Capítulo 38
Êxodo 38
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 9 de 319Kisha akatengeneza ua. Upande wa kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja38:9 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45., na ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,
- Capítulo 44
Isaías 44
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 23 de 2823Enyi mbingu, imbeni kwa furaha,kwa maana Mwenyezi Mungu amefanya jambo hili.Ee vilindi vya dunia, piga kelele.Enyi milima, pazeni sauti kwa nyimbo,enyi misitu na miti yenu yote,kwa maana Mwenyezi Mungu amemkomboa Yakobo,ameuonesha utukufu wake katika Israeli.
- Capítulo 39
Êxodo 39
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 34 de 4334kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, na kifuniko cha ngozi za pomboo39:34 pengine ni mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili, na pazia la kufunikia;
- Capítulo 30
Êxodo 30
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 6 de 386Weka hayo madhabahu mbele ya lile pazia lililo mbele ya Sanduku la ule Ushuhuda, lililo mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya ule Ushuhuda, mahali nitakapokutana nawe.