Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "paz"

46 resultados encontrados

  1. Êxodo 35

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 35
    Mostrando versículo 12 de 35

    12Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia;

  2. Isaías 49

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 49
    Mostrando versículo 13 de 26

    13Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;furahi, ee dunia;pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima!Kwa maana Mwenyezi Mungu anawafariji watu wake,naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.

  3. Êxodo 38

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 38
    Mostrando versículo 9 de 31

    9Kisha akatengeneza ua. Upande wa kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja38:9 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45., na ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,

  4. Isaías 44

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículo 23 de 28

    23Enyi mbingu, imbeni kwa furaha,kwa maana Mwenyezi Mungu amefanya jambo hili.Ee vilindi vya dunia, piga kelele.Enyi milima, pazeni sauti kwa nyimbo,enyi misitu na miti yenu yote,kwa maana Mwenyezi Mungu amemkomboa Yakobo,ameuonesha utukufu wake katika Israeli.

  5. Êxodo 39

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 39
    Mostrando versículo 34 de 43

    34kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, na kifuniko cha ngozi za pomboo39:34 pengine ni mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili, na pazia la kufunikia;

  6. Êxodo 30

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 30
    Mostrando versículo 6 de 38

    6Weka hayo madhabahu mbele ya lile pazia lililo mbele ya Sanduku la ule Ushuhuda, lililo mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya ule Ushuhuda, mahali nitakapokutana nawe.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo