Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "paz"

48 resultados encontrados

  1. Levítico 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 18–33 de 34

    18"Kisha atatoka aje kwenye madhabahu yaliyo mbele za Mwenyezi Mungu na kufanya upatanisho kwa ajili yake. Atachukua sehemu ya damu ya fahali na sehemu ya damu ya mbuzi, na kuiweka kwenye pembe za madhabahu.

    31Ni Sabato ya mapumziko, na lazima mfunge; ni agizo la kudumu.

    33na kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, na pia kwa ajili ya makuhani, pamoja na jumuiya yote ya watu.

  2. Isaías 40

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 40
    Mostrando versículos 7–28 de 31

    7Majani hunyauka na maua huanguka,kwa sababu pumzi ya Mwenyezi Mungu huyapuliza.Hakika wanadamu ni majani.

    10Tazameni, Bwana Mungu Mwenyezi anakuja na nguvu,nao mkono wake ndio utawalao kwa ajili yake.Tazameni, ujira wake u pamoja naye,nayo malipo yake yanafuatana naye.

    28Je wewe, hufahamu?Je wewe, hujasikia?Mwenyezi Mungu ni Mungu wa milele,Muumba wa miisho ya dunia.Hatachoka wala kulegea,wala hakuna hata mmojaawezaye kuupima ufahamu wake.

  3. Êxodo 38

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 38
    Mostrando versículos 5–16 de 31

    5Akasubu pete za shaba za kushikilia ile mipiko kwa ajili ya zile pembe nne za huo wavu wa shaba.

    6Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.

    16Mapazia yote yaliyozunguka ua yalikuwa ya kitani iliyosokotwa vizuri.

  4. Levítico 4

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 1–10 de 35

    1Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

    2"Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote afanyapo dhambi bila kukusudia na akatenda lile lililokatazwa katika amri yoyote ya Mwenyezi Mungu:

    10kama vile mafuta yanavyoondolewa kutoka kwa ng’ombe aliyetolewa sadaka ya amani. Kisha kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.

  5. Isaías 49

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 49
    Mostrando versículos 13–24 de 26

    13Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;furahi, ee dunia;pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima!Kwa maana Mwenyezi Mungu anawafariji watu wake,naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.

    18Inua macho yako ukatazame pande zote:wana wako wote wanakusanyika na kukujia.Kwa hakika kama vile niishivyo,utawavaa wote kama mapambo,na kujifunga nao kama bibi arusi,"asema Mwenyezi Mungu.

    24Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita,au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali?

  6. Êxodo 39

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 39
    Mostrando versículos 11–40 de 43

    11safu ya pili ilikuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;

    35Sanduku la Ushuhuda pamoja na mipiko yake na kiti cha rehema,

    40mapazia ya ua pamoja na nguzo na vitako vyake, pia na pazia la ingilio la ua;kamba zake na vigingi vya hema kwa ajili ya ua;vyombo vyote vilivyohitajiwa kwa ajili ya maskani ya Mungu, lile Hema la Kukutania;

  7. Isaías 44

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículos 8–27 de 28

    8Msitetemeke, msiogope.Je, sikutangaza hili, na kutoa unabii tangu zamani?Ninyi ni mashahidi wangu.Je, yuko Mungu zaidi yangu mimi?Hasha, hakuna Mwamba mwingine;mimi simjui mwingine."

    9Wote wachongao sanamu ni ubatili,navyo vitu wanavyovithamini havifai kitu.Wale ambao wanazitetea ni vipofu,ni wajinga, nao waaibika.

    27niiambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka,nami nitakausha vijito vyako,’

  8. Êxodo 30

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 30
    Mostrando versículos 1–6 de 38

    1"Tengeneza madhabahu kwa mbao za mshita kwa ajili ya kufukizia uvumba.

    5Tengeneza mipiko kwa miti ya mshita na uifunike kwa dhahabu.

    6Weka hayo madhabahu mbele ya lile pazia lililo mbele ya Sanduku la ule Ushuhuda, lililo mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya ule Ushuhuda, mahali nitakapokutana nawe.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo