Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

138 resultados encontrados

  1. Lucas 19

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 21–38 de 48

    21Nilikuogopa, kwa sababu wewe ni mtu mgumu. Unachukua ambapo hukuweka, na kuvuna ambapo hukupanda.’

    23kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba, ili nitakaporudi nichukue iliyo yangu na riba yake?’

    38"Amebarikiwa mfalme ajaye kwa Jina la Mwenyezi Mungu!""Amani mbinguni na utukufu huko juu sana."

  2. Atos 26

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 26
    Mostrando versículos 7–27 de 32

    7Hii ndiyo ahadi ambayo makabila yetu kumi na mawili yanatarajia kuiona ikitimizwa wanapomtumikia Mungu kwa bidii usiku na mchana. Ee mfalme, ninashtakiwa na Wayahudi kwa ajili ya tumaini hili.

    18uyafumbue macho yao ili wageuke kutoka gizani waingie nuruni, na kutoka kwa nguvu za Shetani wamgeukie Mungu, ili wapate msamaha wa dhambi na sehemu miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini mimi.’

    27Mfalme Agripa, je, unaamini manabii? Najua kuwa unaamini."

  3. Miquéias 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 4–11 de 12

    4Kisha watamlilia Mwenyezi Mungu,lakini hatawajibu.Wakati huo atawaficha uso wakekwa sababu ya uovu waliotenda.

    5Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu:"Kuhusu manabii wanaowapotosha watu wangu,mtu akiwalisha,wanatangaza ‘amani’;kama hakufanya hivyo,wanaandaa kupigana vita dhidi yake.

    11Viongozi wake wanahukumu kwa rushwa,na makuhani wake wanafundisha kwa malipo,nao manabii wake wanatabiri kwa fedha.Hata hivyo wanamwegemea Mwenyezi Mungu na kusema,"Je, Mwenyezi Mungu si yumo miongoni mwetu?Hakuna maafa yatakayotupata."

  4. Malaquias 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–10 de 18

    1"Angalieni, nitamtuma mjumbe wangu, atakayeiandaa njia mbele yangu. Ndipo ghafula Bwana mnayemtafuta atakuja hekaluni mwake. Mjumbe wa agano, ambaye mnamwonea shauku, atakuja," asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni.

    7Tangu wakati wa baba zenu mmegeukia mbali na amri zangu nanyi hamkuzishika. Nirudieni mimi, nami nitawarudia ninyi," asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni."Lakini mnauliza, ‘Tutarudi kwa namna gani?’

    10Leteni zaka kamili ghalani, ili kuwe na chakula katika nyumba yangu. Nijaribuni katika hili," asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, "nanyi mwone kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na kuwamwagieni baraka nyingi hata mkose nafasi ya kutosha.

  5. 1 Coríntios 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 13–24 de 24

    13Kesheni; simameni imara katika imani; kuweni mashujaa na hodari.

    14Fanyeni kila kitu katika upendo.

    24Upendo wangu uwe nanyi nyote katika Al-Masihi Isa. Amen.

  6. Neemias 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 10–19 de 19

    10Mimi na ndugu zangu na watu wangu tunawakopesha watu fedha na nafaka. Lakini jambo hili la kutoza riba likome!

    15Lakini watawala wa mwanzoni, wale walionitangulia, waliwalemea watu na kuchukua kutoka kwao shekeli arobaini za fedha5:15 Shekeli 40 za fedha ni sawa na gramu 456., pamoja na chakula na mvinyo. Wasaidizi wao pia walijifanya wakuu juu ya watu. Lakini kwa kumheshimu Mungu sikufanya hivyo.

    19Unikumbuke kwa fadhili, Ee Mungu wangu, kwa yote niliyofanya kwa ajili ya watu hawa.

  7. Isaías 50

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 50
    Mostrando versículos 4–10 de 11

    4Bwana Mungu Mwenyezi amenipa ulimi uliofundishwa,ili kujua neno limtegemezalo aliyechoka.Huniamsha asubuhi kwa asubuhi,huamsha sikio langu lisikie kama mtu afundishwaye.

    9Ni Bwana Mungu Mwenyezi anisaidiaye mimi.Ni nani huyo atakayenihukumu?Wote watachakaa kama vazi,nondo watawala wawamalize.

    10Ni nani miongoni mwenu amchaye Mwenyezi Mungu,na kulitii neno la mtumishi wake?Yeye atembeaye gizani,yeye asiye na nuru,na alitumainie jina la Mwenyezi Mungu,na amtegemee Mungu wake.

  8. Provérbios 19

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 17–22 de 29

    17Yeye amhurumiaye maskini humkopesha Mwenyezi Mungu,naye atamtuza kwa aliyotenda.

    21Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu,lakini kusudi la Mwenyezi Mungu ndilo litakalosimama.

    22Lile mtu alionealo shauku ni upendo usio na mwisho,afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo.

  9. Naum 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 1–10 de 13

    1Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi.Linda ngome yako,chunga barabara,jitieni nguvu wenyewe,kusanya nguvu zako zote!

    9Chukueni nyara za fedha!Chukueni nyara za dhahabu!Wingi wake hauna mwisho,utajiri kutoka hazina zake zote!

    10Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi!Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea,miili inatetemeka,na kila uso umebadilika rangi.

  10. Eclesiastes 12

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 7–12 de 14

    7nayo mavumbi kurudi ardhini yalikotoka,na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.

    8Mhubiri asema, "Ubatili! Ubatili!Kila kitu ni ubatili!"

    12Zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo.Hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, nako kusoma sana huuchosha mwili.

  11. 2 Samuel 8

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 11–16 de 18

    11Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Mwenyezi Mungu, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda:

    12yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.

    16Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi aliweka kumbukumbu;

  12. 2 Reis 7

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 1–16 de 20

    1Al-Yasa akasema, "Sikiliza neno la Mwenyezi Mungu. Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu: Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja7:1 Kipimo kimoja cha unga ni sawa na kilo 3. cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha7:1 Shekeli moja ni sawa na gramu 11., na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria."

    4Tukisema, ‘Tutaingia mjini,’ mjini kuna njaa, nasi tutakufa humo. Tukikaa hapa, tutakufa. Kwa hiyo twende kambi ya Waaramu, tujisalimishe. Wakituacha hai, tutaishi; wakituua, basi na tufe."

    16Kisha watu wakatoka na kuteka nyara kambi ya Waaramu. Kwa hiyo kipimo cha unga mzuri kikauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kama vile Mwenyezi Mungu alivyokuwa amesema.

  13. Eclesiastes 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 4–7 de 20

    4Unapomwekea Mungu nadhiri, usikawie kuitimiza. Yeye hafurahii wapumbavu; timiza nadhiri yako.

    6Usiruhusu kinywa chako kukuingiza dhambini. Tena usijitetee mbele ya huyo mjumbe wa hekaluni, ukisema, "Niliweka nadhiri kwa makosa." Kwa nini Mungu akasirike kwa ajili ya yale unayosema na kuiharibu kazi ya mikono yako?

    7Kuota ndoto kwingi na maneno mengi ni ubatili. Kwa hiyo mche Mungu.

  14. 2 Crônicas 16

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 8–9 de 14

    8Je, hukumbuki lililotendeka kwa Wakushi na Walibia, hawakuwa jeshi lenye nguvu na magari mengi ya vita na wapanda farasi? Hata hivyo, ulipomtegemea Mwenyezi Mungu yeye aliwatia mkononi mwako.

    9Kwa kuwa macho ya Mwenyezi Mungu yanazunguka dunia yote ili kuwatia nguvu wale ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. Umefanya jambo la upumbavu, na kuanzia sasa na kuendelea utakuwa na vita."

  15. 2 Timóteo 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 5–17 de 17

    5wakiwa na mfano wa utauwa kwa nje, lakini wakizikana nguvu za Mungu. Jiepushe na watu kama hao.

    8Kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Musa, vivyo hivyo watu hawa hupingana na kweli. Hawa ni watu wenye akili zilizopotoka, ambao wamekataliwa kwa mambo ya imani.

    17ili mtu wa Mungu awe amekamilishwa, apate kutenda kila kazi njema.

  16. 1 Reis 10

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 8–23 de 29

    8Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wanaosimama mbele yako daima na kusikia hekima yako!

    9Ahimidiwe Mwenyezi Mungu, Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe na kukuweka kwenye kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya upendo wake Mwenyezi Mungu wa milele kwa Israeli, amekufanya mfalme, ili kudumisha haki na uadilifu."

    23Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri mkubwa na mwenye hekima kuliko wafalme wote wa dunia.

  17. Sofonias 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 2–17 de 18

    2Mwenyezi Mungu asema,"Nitafagia kila kitukutoka uso wa dunia.

    7Nyamazeni mbele za Bwana Mungu Mwenyezi,kwa maana siku ya Mwenyezi Mungu iko karibu.Mwenyezi Mungu ameandaa dhabihu,amewaweka wakfu wale aliowaalika.

    17Nitawaletea watu dhiki,nao watatembea kama vipofu,kwa sababu wametenda dhambidhidi ya Mwenyezi Mungu.Damu yao itamwagwa kama vumbina matumbo yao kama kinyesi.

  18. 1 Timóteo 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–13 de 16

    1Hili ni neno la kuaminiwa, kwamba mtu akitamani kuwa mwangalizi wa kundi la waumini, atamani kazi nzuri.

    9Inawapasa kushikamana sana na ile siri ya imani kwa dhamiri safi.

    13Wale ambao wamehudumu vyema katika huduma ya ushemasi hujipatia msimamo bora na ujasiri mkubwa katika imani yao ndani ya Al-Masihi Isa.

  19. Esdras 7

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 4–28 de 28

    4mwana wa Zerahia, mwana wa Uzi, mwana wa Buki,

    5mwana wa Abishua, mwana wa Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani mkuu Haruni.

    28ambaye ameniongezea kibali chake mbele ya mfalme, washauri wake na maafisa wote wa mfalme wenye uwezo. Kwa kuwa mkono wa Mwenyezi Mungu, Mungu wangu, ulikuwa pamoja nami, nilijipa moyo nikakusanya watu walio viongozi kutoka Israeli wakwee pamoja nami.

  20. Amós 8

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 1–5 de 14

    1Hili ndilo alilonionesha Bwana Mungu Mwenyezi katika maono: kikapu cha matunda yaliyoiva.

    2Akaniuliza, "Amosi, unaona nini?"Nikajibu, "Kikapu chenye matunda yaliyoiva."Ndipo Mwenyezi Mungu akaniambia, "Wakati umewadia kwa watu wangu Israeli; sitawahurumia zaidi."

    5mkisema,"Ni lini Mwezi Mwandamo utakapopitaili tupate kuuza nafaka,na Sabato itakwisha liniili tuweze kuuza ngano?"Mkipunguza vipimo,na kuongeza bei,na kudanganya kwa mizani zisizo sawa,

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo