1Kuna machimbo ya fedha,na mahali dhahabu inaposafishwa.
Resultados da busca por "fé"
134 resultados encontrados
- Capítulo 28
Jó 28
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 1 de 28 - Capítulo 19
Lucas 19
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 10 de 4810Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea."
- Capítulo 3
Miquéias 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 7 de 127Waonaji wataaibikana waaguzi watafedheheka.Wote watafunika nyuso zaokwa sababu hakuna jibu litokalo kwa Mungu."
- Capítulo 26
Atos 26
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 24 de 3224Paulo alipokuwa akifanya utetezi huu, Festo akasema kwa sauti kubwa, "Paulo, wewe umerukwa na akili! Kusoma kwingi kunakufanya uwe kichaa!"
- Capítulo 3
Malaquias 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 182Lakini ni nani atakayeweza kustahimili hiyo siku ya kuja kwake? Ni nani awezaye kusimama atakapotokea? Kwa kuwa atakuwa kama moto wa mfua fedha au kama sabuni ya mfua nguo.
- Capítulo 5
1 Pedro 5
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 142lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika.
- Capítulo 5
Neemias 5
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 4 de 194Bado kukawa na wengine waliokuwa wakisema, "Ilitubidi tukope fedha ili kulipa kodi ya mfalme kwa ajili ya mashamba yetu na mashamba yetu ya mizabibu.
- Capítulo 50
Isaías 50
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 6 de 116Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao,mashavu yangu wale wang’oao ndevu zangu;sikuuficha uso wangu kutokana na fedhehana kutemewa mate.
- Capítulo 2
Naum 2
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 9 de 139Chukueni nyara za fedha!Chukueni nyara za dhahabu!Wingi wake hauna mwisho,utajiri kutoka hazina zake zote!
- Capítulo 19
Provérbios 19
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 26 de 2926Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza mama yakeni mwana aletaye aibu na fedheha.
- Capítulo 12
Eclesiastes 12
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 6 de 146Mkumbuke Muumba wako: kabla haijakatika kamba ya fedha,au bakuli la dhahabu halijavunjika;kabla mtungi kuvunjika kwenye chemchemi,au gurudumu kuvunjika kisimani,
- Capítulo 8
2 Samuel 8
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 10 de 1810akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.
- Capítulo 7
2 Reis 7
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 1 de 201Al-Yasa akasema, "Sikiliza neno la Mwenyezi Mungu. Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu: Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja7:1 Kipimo kimoja cha unga ni sawa na kilo 3. cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha7:1 Shekeli moja ni sawa na gramu 11., na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria."
- Capítulo 16
2 Crônicas 16
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 142Ndipo Asa akachukua fedha na dhahabu kutoka hazina ya Hekalu la Mwenyezi Mungu na kutoka jumba lake la kifalme na kumpelekea Ben-Hadadi mfalme wa Aramu, aliyekuwa anatawala huko Dameski.
- Capítulo 10
1 Reis 10
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 21 de 2921Vyombo vyote vya Mfalme Sulemani vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na vyombo vyote vya nyumbani katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani ndogo siku za Sulemani.
- Capítulo 1
Sofonias 1
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 11 de 1811Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;wafanyabiashara wenu wote wameangamizwa,wote ambao wanafanya biashara ya fedhawataangamizwa.
- Capítulo 3
1 Timóteo 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 3 de 163asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha.
- Capítulo 7
Esdras 7
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 15 de 2815Zaidi ya hayo, uchukue fedha na dhahabu ambazo mfalme na washauri wake wamempa Mungu wa Israeli kwa hiari, Mungu ambaye maskani yake yako Yerusalemu,
- Capítulo 8
Amós 8
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 6 de 146mkiwanunua maskini kwa fedha,na wahitaji kwa jozi ya viatu,na mkiuza hata takataka za nganopamoja na ngano.
- Capítulo 7
Ezequiel 7
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 19 de 2719" ‘Watatupa fedha yao barabarani,nayo dhahabu yao itakuwa najisi.Fedha yao na dhahabu yaohavitaweza kuwaokoakatika siku hiyo ya ghadhabu ya Mwenyezi Mungu.Hawatashibisha njaa yaoau kujaza tumbo zao kwa hiyo fedha wala dhahabu,kwa sababu imewaponza wajikwae dhambini.