Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

138 resultados encontrados

  1. Salmos 69

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 69
    Mostrando versículos 3–33 de 36

    3Nimechoka kwa kuomba msaada,koo langu limekauka.Macho yangu yanafifia,nikimtafuta Mungu wangu.

    31Hili litampendeza Mwenyezi Mungu kuliko ng’ombe dume,zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.

    33Mwenyezi Mungu huwasikia wahitajiwala hadharau watu wake waliotekwa.

  2. Ester 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 11 de 15

    11Mfalme akamwambia Hamani, "Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo."

  3. Josué 7

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 7–14 de 26

    7Yoshua akasema, "Ee Bwana Mungu Mwenyezi, kwa nini umewavusha watu hawa ng’ambo ya Yordani ili kututia mikononi mwa Waamori watuangamize? Laiti tungeridhika kukaa ng’ambo ile nyingine ya Yordani!

    10Mwenyezi Mungu akamwambia Yoshua, "Simama! Unafanya nini ukilala kifudifudi?

    14" ‘Asubuhi, mtakuja kabila kwa kabila. Kisha kabila atakalolichagua Mwenyezi Mungu watakuja mbele kufuatana na koo zao; nao ukoo atakaouchagua Mwenyezi Mungu watakuja mbele jamaa kwa jamaa, nayo jamaa atakayoichagua Mwenyezi Mungu watakuja mbele mtu kwa mtu.

  4. Zacarias 11

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 11
    Mostrando versículos 4–17 de 17

    4Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wangu: "Lilishe kundi lililokusudiwa kuchinjwa.

    13Naye Mwenyezi Mungu akaniambia, "Mtupie mfinyanzi," hiyo bei nzuri waliyonithaminia! Kwa hiyo nikachukua hivyo vipande thelathini vya fedha na kumtupia huyo mfinyanzi katika nyumba ya Mwenyezi Mungu.

    17"Ole wa mchungaji asiyefaa,anayeliacha kundi!Upanga na uupige mkono wake na jicho lake la kuume!Mkono wake na unyauke kabisa,jicho lake la kuume lipofuke kabisa!"

  5. Gênesis 17

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 3–24 de 27

    3Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akamwambia,

    13Awe amezaliwa nyumbani mwako au amenunuliwa kwa fedha yako, ni lazima atahiriwe. Agano langu katika mwili wako litakuwa ni agano la milele.

    24Ibrahimu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa;

  6. Jó 28

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 5–23 de 28

    5Ardhi, ambako chakula hutoka,chini hugeuzwa kwa moto;

    12Lakini hekima inaweza kupatikana wapi?Ufahamu unakaa wapi?

    23Mungu anaifahamu njia ya kuiendea hekimana ndiye peke yake anayefahamu inakokaa,

  7. Atos 23

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 13–26 de 35

    13Waliofanya mpango huo walikuwa zaidi ya watu arobaini.

    25Kisha akaandika barua kwa Feliksi kama ifuatavyo:

    26Klaudio Lisia.Kwa Mtawala, Mtukufu Feliksi.Salamu.

  8. Êxodo 11

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 11
    Mostrando versículos 4–9 de 10

    4Kwa hiyo Musa akasema, "Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: ‘Usiku wa manane, Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.

    6Kutakuwa na kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio ambacho hakijakuwa, wala kamwe hakitakuwa tena.

    9Mwenyezi Mungu alikuwa amemwambia Musa, "Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri."

  9. 1 Crônicas 18

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículos 11–15 de 17

    11Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Mwenyezi Mungu, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu aliyokuwa ameitwaa katika mataifa haya yote: Edomu na Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki.

    12Abishai mwana wa Seruya akawaua Waedomu elfu kumi na nane katika Bonde la Chumvi.

    15Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi;Yehoshafati mwana wa Ahiludi aliweka kumbukumbu;

  10. Deuteronômio 14

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 1–26 de 29

    1Ninyi ni watoto wa Mwenyezi Mungu, Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa,

    17mwari, nderi, mnandi,

    26Tumieni hiyo fedha kununua chochote ukitakacho: ng’ombe, kondoo, divai au kinywaji chochote chenye chachu au chochote mnachotaka. Kisha ninyi na watu wa nyumbani mwenu mtaila mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, na kufurahi.

  11. Isaías 22

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 1–13 de 25

    1Neno la unabii kuhusu Bonde la Maono:Nini kinachokutaabisha sasa,kwamba ninyi nyote mmepanda juu ya mapaa?

    2Ewe mji uliojaa ghasia,ewe mji wa makelele na sherehe!Watu wenu waliokufa hawakuuawa kwa upanga,wala hawakufa vitani.

    13Lakini tazama, kuna furaha na sherehe,kuchinja ng’ombe na kuchinja kondoo,kula nyama na kunywa mvinyo!Mnasema, "Tuleni na kunywa,kwa kuwa kesho tutakufa!"

  12. 2 Reis 22

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 5–18 de 20

    5Waambie waikabidhi kwa watu walioteuliwa kusimamia kazi ya Hekalu. Waamuru watu hawa wawalipe wafanyakazi ambao wanakarabati Hekalu la Mwenyezi Mungu:

    6wale maseremala, wajenzi na waashi. Waambie pia wanunue mbao na mawe yaliyochongwa ili kukarabati Hekalu.

    18Mwambieni mfalme wa Yuda, ambaye amewatuma kumuuliza Mwenyezi Mungu, ‘Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, kuhusu maneno uliyoyasikia:

  13. Cânticos 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–16 de 17

    1Wimbo ulio bora wa Sulemani.Mpendwa1:2 Kulingana na matumizi ya lugha ya Kiebrania, mnenaji wa kiume na wa kike wametofautishwa kwa kichwa cha Mpenzi na Mpendwa. Wanenaji wengine wamepewa kichwa cha Rafiki. Wakati mwingine haijulikani kwa hakika nani ananena, lakini mapokeo yamefuatwa kutambulisha wanenaji.

    13Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemanekati ya matiti yangu.

    16Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!Ee, tazama jinsi unavyopendeza!Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.Mpenzi

  14. Eclesiastes 10

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 2–18 de 20

    2Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume,lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.

    13Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,mwishoni ni wazimu mbaya,

    18Kama mtu ni mvivu, paa la nyumba huinama;kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.

  15. 2 Crônicas 9

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 9
    Mostrando versículos 7–28 de 31

    7Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wanaosimama mbele yako daima na kusikia hekima yako!

    8Ahimidiwe Mwenyezi Mungu, Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe, na akakuweka kwenye kiti chake cha ufalme utawale kwa niaba ya Mwenyezi Mungu, Mungu wako. Kwa sababu ya upendo wa Mungu wako kwa Israeli na shauku yake ya kuwathibitisha milele, amekufanya wewe mfalme juu yao, ili kudumisha haki na uadilifu."

    28Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.

  16. Oséias 13

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 4–15 de 16

    4"Bali mimi ndimi Mwenyezi Mungu, Mungu wenu,niliyewaleta ninyi toka Misri.Msimkubali Mungu mwingine ila mimi,hakuna Mwokozi isipokuwa mimi.

    12Kosa la Efraimu limehifadhiwa,dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.

    15hata ingawa Efraimu atastawimiongoni mwa ndugu zake.Upepo wa mashariki kutoka kwa Mwenyezi Mungu utakuja,ukivuma kutoka jangwani,chemchemi yake haitatoa majina kisima chake kitakauka.Ghala lake litatekwahazina zake zote.

  17. Esdras 8

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 6–17 de 36

    6wa wazao wa Adini,alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume hamsini;

    10wa wazao wa Bani,alikuwa Shelomithi mwana wa Yosifia na wanaume mia moja na sitini;

    17nikawatuma kwa Ido kiongozi huko Kasifia. Niliwaambia watakayomwambia Ido na ndugu zake, watumishi wa Hekalu8:17 yaani Wanethini (pia 8:20). huko Kasifia, ili waweze kutuletea wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.

  18. Salmos 18

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículos 2–48 de 50

    2Mwenyezi Mungu ni mwamba wangu,ngome yangu na mwokozi wangu;Mungu wangu ni mwamba wangu,ninayemkimbilia.Yeye ni ngao yangu na pembe18:2 pembe inamaanisha nguvu ya wokovu wangu,ngome yangu.

    46Mwenyezi Mungu yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu!

    48aniokoaye na adui zangu.Uliniinua juu ya adui zangu;uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

  19. Provérbios 25

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 25
    Mostrando versículos 2–26 de 28

    2Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo,bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo.

    25Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochokandivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.

    26Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope aukisima kilichotiwa takandivyo alivyo mtu mwenye hakiakishiriki na waovu.

  20. Gênesis 43

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 43
    Mostrando versículos 12–34 de 34

    12Chukueni fedha mara mbili, kwa kuwa mtazirudisha zile fedha zilizowekwa midomoni mwa magunia yenu. Labda ziliwekwa kwa makosa.

    20Wakasema, "Tafadhali bwana, tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.

    34Walipopelekewa sehemu ya chakula kutoka meza ya Yusufu, sehemu ya Benyamini ilikuwa mara tano zaidi ya sehemu ya wale wengine. Kwa hiyo wakanywa na kufurahi pamoja naye.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo