3Nimechoka kwa kuomba msaada,koo langu limekauka.Macho yangu yanafifia,nikimtafuta Mungu wangu.
31Hili litampendeza Mwenyezi Mungu kuliko ng’ombe dume,zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.
33Mwenyezi Mungu huwasikia wahitajiwala hadharau watu wake waliotekwa.