11Tutakufanyia vipuli vya dhahabu,vyenye kupambwa kwa fedha.Mpendwa
Resultados da busca por "fé"
116 resultados encontrados
- Capítulo 1
Cânticos 1
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 11 de 17 - Capítulo 10
Eclesiastes 10
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 19 de 2019Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,nao mvinyo hufurahisha maisha,lakini fedha ni jawabu la mambo yote.
- Capítulo 9
2 Crônicas 9
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 14 de 3114mbali na mapato yaliyoletwa na wafanyabiashara na wachuuzi. Wafalme wote wa Arabuni na watawala wa nchi wakamletea Sulemani dhahabu na fedha.
- Capítulo 13
Oséias 13
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 162Sasa wanatenda dhambi zaidi na zaidi;wanajitengenezea sanamukutokana na fedha yao,vinyago vilivyotengenezwa kwa uhodari,vyote kazi ya fundi stadi.Inasemekana kuhusu hawa watu,"Hutoa dhabihu za binadamuna kubusu sanamu za ndama."
- Capítulo 8
Esdras 8
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 13 de 3613wa wazao wa Adonikamu:hawa walikuwa wa mwisho ambao majina yao ni Elifeleti, Yeueli, Shemaya na wanaume sitini;
- Capítulo 3
Jó 3
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 15 de 2615pamoja na watawala waliokuwa na dhahabu,waliozijaza nyumba zao kwa fedha.
- Capítulo 2
Provérbios 2
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 4 de 224na ukiitafuta kama fedhana kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,
- Capítulo 18
1 Crônicas 18
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 10 de 1710akamtuma mwanawe Hadoramu kwa Mfalme Daudi, ili kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Mfalme Hadadezeri, kwa maana alikuwa amepigana vita mara nyingi na Tou. Hadoramu akamletea Daudi vifaa mbalimbali vya dhahabu, fedha na shaba.
- Capítulo 44
Gênesis 44
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 1 de 341Kisha Yusufu akampa yule msimamizi wa nyumbani mwake maagizo haya: "Jaza magunia ya watu hawa kiasi cha chakula ambacho wanaweza kuchukua, na uweke fedha ya kila mtu katika gunia lake.
- Capítulo 44
Isaías 44
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 11 de 2811Yeye pamoja na wenziwe wa aina yake wataaibishwa,mafundi wao si kitu ila ni wanadamu tu.Wote wakusanyike pamoja na kuwa na msimamo wao,watashushwa chini kwa hofu na kwa fedheha.
- Capítulo 22
Êxodo 22
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 7 de 317"Mtu akimpa jirani yake fedha au mali nyingine amtunzie, vitu vile vikiibwa kutoka nyumba ya huyo jirani, kama mwizi akishikwa, lazima alipe mara mbili.
- Capítulo 15
Salmos 15
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 5 de 55Yeye akopeshaye fedha yake bila riba,na hapokei rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.Mtu afanyaye hayakamwe hatatikisika.
- Capítulo 1
2 Crônicas 1
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 15 de 1715Mfalme akafanya fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu chini ya vilima.
- Capítulo 5
2 Reis 5
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 5 de 275Mfalme wa Aramu5:5 yaani Shamu akamjibu, "Hakika, nenda. Nitatuma barua kwa mfalme wa Israeli." Kwa hiyo Naamani akaondoka, akiwa amechukua talanta kumi5:5 Talanta 10 za fedha ni sawa na kilo 340. za fedha, shekeli elfu sita za dhahabu5:5 Shekeli 6,000 za dhahabu ni sawa na kilo 70., na mavazi kumi.
- Capítulo 17
Provérbios 17
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 3 de 283Kalibu husafisha fedha na tanuru husafisha dhahabu,bali Mwenyezi Mungu huujaribu moyo.
- Capítulo 27
Êxodo 27
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 10 de 2110pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
- Capítulo 55
Isaías 55
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 1 de 131"Haya! Njooni, ninyi nyote wenye kiu,njooni kwenye maji;nanyi ambao hamna fedha,njooni, nunueni na mle!Njooni, nunueni divai na maziwabila fedha na bila gharama.
- Capítulo 12
Salmos 12
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 6 de 86Maneno ya Mwenyezi Mungu ni safi,kama fedha iliyosafishwa katika tanuru,iliyosafishwa mara saba.
- Capítulo 42
Gênesis 42
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 2 de 382Akaendelea kuwaambia, "Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka. Teremkeni huko mkatununulie chakula, ili tuweze kuishi wala tusife."
- Capítulo 24
2 Crônicas 24
Toleo Wazi Neno: Maandiko MatakatifuMostrando versículo 5 de 275Akawaita pamoja makuhani na Walawi akawaambia, "Nendeni katika miji ya Yuda mkakusanye fedha wanazopaswa kulipa kila mwaka kutoka kwa Israeli wote, ili kukarabati Hekalu la Mungu wenu. Fanyeni hivyo sasa." Lakini Walawi hawakufanya upesi.