9 Furahi ewe kijana, ukiwa bado kijana,
moyo wako na ukupe furaha
siku za ujana wako.
Fuata njia za moyo wako
na chochote macho yako yanaona,
lakini ujue kwamba kwa ajili ya haya yote
Mungu atakuleta hukumuni.
9 Furahi ewe kijana, ukiwa bado kijana,
moyo wako na ukupe furaha
siku za ujana wako.
Fuata njia za moyo wako
na chochote macho yako yanaona,
lakini ujue kwamba kwa ajili ya haya yote
Mungu atakuleta hukumuni.