Publicidade

Eclesiastes 4

8 Kulikuwa na mtu aliye peke yake,

hakuwa na mwana wala ndugu.

Hapakuwa na mwisho wa kazi yake;

hata hivyo macho yake

hayakutosheka na utajiri wake.

Aliuliza, "Ninajitaabisha hivi kwa ajili ya nani,

nami kwa nini ninajinyima kufurahia?"

Hili pia ni ubatili,

ni shughuli yenye taabu!

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-