Kuenenda katika nuru
1 Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wanaopendwa, 2 mkiishi maisha ya upendo, kama vile Al-Masihi alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.
1 Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wanaopendwa, 2 mkiishi maisha ya upendo, kama vile Al-Masihi alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.