Pular para o conteúdo
Publicidade

Efésios 5

Kuenenda katika nuru

1 Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wanaopendwa, 2 mkiishi maisha ya upendo, kama vile Al-Masihi alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.

Veja também