4 Ndipo akaniambia, "Itabirie mifupa hii na uiambie, ‘Enyi mifupa mikavu, sikieni neno la Mwenyezi Mungu! 5 Hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenyezi kwa hii mifupa: Nitatia pumzi37:5 pumzi pia ina maana ya roho au upepo kwa Kiebrania ndani yenu, nanyi mtaishi.