Agano la Tohara
1 Abramu alipokuwa na umri wa miaka tisini na tisa, Mwenyezi Mungu akamtokea, akamwambia, "Mimi ndimi Mungu Mwenyezi17:1 Kiebrania El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).; nenda mbele zangu na uishi kwa unyofu.
1 Abramu alipokuwa na umri wa miaka tisini na tisa, Mwenyezi Mungu akamtokea, akamwambia, "Mimi ndimi Mungu Mwenyezi17:1 Kiebrania El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).; nenda mbele zangu na uishi kwa unyofu.