16 Kwa mwanamke akasema,
"Nitakuzidishia sana uchungu wakati wa kuzaa kwako;
kwa uchungu utazaa watoto.
Tamaa yako itakuwa kwa mumeo,
naye atakutawala."
16 Kwa mwanamke akasema,
"Nitakuzidishia sana uchungu wakati wa kuzaa kwako;
kwa uchungu utazaa watoto.
Tamaa yako itakuwa kwa mumeo,
naye atakutawala."