Publicidade

Hebreus 12

5 Nanyi mmesahau yale maneno ya kuwaonya yanayowataja ninyi kuwa wana, yakisema:

"Mwanangu, usidharau adhabu ya Mwenyezi Mungu,

wala usikate tamaa akikukemea,

6 kwa sababu Mwenyezi Mungu huwaadibisha wale anaowapenda,

na humwadhibu kila mmoja

anayemkubali kuwa mwana."

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-