Pular para o conteúdo
Publicidade

Jó 1

21 akasema:

"Nilitoka tumboni mwa mama yangu uchi,

nami nitaondoka uchi1:21 au nitarudi huko uchi,

Mwenyezi Mungu alinipa,

naye Mwenyezi Mungu ameviondoa;

jina la Mwenyezi Mungu litukuzwe."

22 Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa kumlaumu Mungu kwa kufanya ubaya.

Veja também