21 akasema:
"Nilitoka tumboni mwa mama yangu uchi,
nami nitaondoka uchi1:21 au nitarudi huko uchi,
Mwenyezi Mungu alinipa,
naye Mwenyezi Mungu ameviondoa;
jina la Mwenyezi Mungu litukuzwe."
22 Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa kumlaumu Mungu kwa kufanya ubaya.