Pular para o conteúdo
Publicidade

João 1

45 Filipo naye akamkuta Nathanaeli na kumwambia, "Tumemwona yeye ambaye Musa aliandika habari zake katika Torati, na ambaye pia manabii waliandika kumhusu, yaani Isa Al-Nasiri, mwana wa Yusufu1:45 Yusufu hakuwa baba mzazi wa Isa, bali alikuwa baba mlezi.."

46 Nathanaeli akauliza, "Nasiri! Je, kitu chochote chema chaweza kutoka Nasiri?"

Filipo akamwambia, "Njoo uone."

Veja também