45 Filipo naye akamkuta Nathanaeli na kumwambia, "Tumemwona yeye ambaye Musa aliandika habari zake katika Torati, na ambaye pia manabii waliandika kumhusu, yaani Isa Al-Nasiri, mwana wa Yusufu1:45 Yusufu hakuwa baba mzazi wa Isa, bali alikuwa baba mlezi.."
46 Nathanaeli akauliza, "Nasiri! Je, kitu chochote chema chaweza kutoka Nasiri?"
Filipo akamwambia, "Njoo uone."