Pular para o conteúdo
Publicidade

Yohana 1

45 Filipo naye akamkuta Nathanaeli na kumwambia, "Tumemwona yeye ambaye Musa aliandika habari zake katika Torati, na ambaye pia manabii waliandika kumhusu, yaani Isa Al-Nasiri, mwana wa Yusufu1:45 Yusufu hakuwa baba mzazi wa Isa, bali alikuwa baba mlezi.."

46 Nathanaeli akauliza, "Nasiri! Je, kitu chochote chema chaweza kutoka Nasiri?"

Filipo akamwambia, "Njoo uone."

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também