3 Divai ilipokwisha, mama yake Isa akamwambia, "Wameishiwa na divai."
4 Isa akamwambia, "Mama, kwa nini unanihusisha? Saa yangu haijawadia."
5 Mama yake akawaambia wale watumishi, "Fanyeni lolote atakalowaambia."
3 Divai ilipokwisha, mama yake Isa akamwambia, "Wameishiwa na divai."
4 Isa akamwambia, "Mama, kwa nini unanihusisha? Saa yangu haijawadia."
5 Mama yake akawaambia wale watumishi, "Fanyeni lolote atakalowaambia."